Prof. Mussa Assad: Nilipokuwa ofisini niliomba nyaraka za SGR, Air Tanzania na mradi wa Stiegler's Gorge lakini sikupewa hata moja

KUNA clip moja inasambaa naona Assad akitaja Phases za Stiglers Gorge...Na anasema kabisa "Nakumbuka Report inasema"

Ina maana aliisoma report au alikua na access na hizo taarifa za Stiglers...Lakini akasema juzi kwamba hakuwahi kupata hizo report ....Sasa sijajua ni report ipi alitakiwa kupata...???

Lakini kingine ni kwamba mimi simtetei Magufuli au simanishi makosa hayakuepo tena mengi makubwa na uonevu mwingi...Ukiwasikia wafanyabiashara wanalia kilio chao..wanasiasa wanalia kilio chao. Wakulima wanalia mazao ni yao wamelima wenyewe lakini wakazuiliwa kuuza wanakotaka..Hivyo basi Kila mtu alikumbana na yake lakin tusimsingizie Marehemu uongo jameni.

KAMA KUNA kitu unajua sio kweli basi usitende dhambi hata kama baadhi ya wateule wake waliumiza sana watu kwa uongo.
 
Binadamu wa sasa ile kitu inaitwa aibu hakuna kabisa.

Yaani mtu anaitisha press kumsuta marehemu ilhali anajua kabisa mhusika hayupo na hataweza kujitetea.
Sasa wewe unataka wafanyeje, wakati akiwa hai angesema hayo labda leo hii asingekuwepo au kama angekuwepo angekuwa kilema kama Lissu.

Magufuli ameipa hii nchi hasara kubwa sana na tumshukuru Mungu ana akili zisizochunguzika anajua alichokifanya japo wengi wetu bado tuko kwenye giza nene.

Wewe unafikiri lile genge la wasiojulikana huyu Assad hakujua kwamba lipo na linatimiza majukumu yake. Wewe endelea kuota tu.
 
Ndio mkuu nina akili sana kuliko Prof.Asad.

Kipimo cha kwanza kidogo tu,

Yeye anabishana na marehemu wakati anajua hawezi kumjibu, hiyo ni akili au matope.

Habishani, anatoa taarifa (account) ya yaliyotokea. Hatarajii jibu wala hii sio kesi kwamba kuna hukumu itatolewa bali ni juu ya wasikilizaji kuamini au kutoamini. Ni kama kuandika kitabu. Majibu ya marehemu wanaotajwa hayatarajiwi.

Uhalali wa kusema sasa ni kwa sababu Hayati alipokuwa hai hakuruhusu fursa ya mtendaji kutoa kero zake popote panapostahili.
 
Sasa wewe unataka wafanyeje, wakati akiwa hai angesema hayo labda leo hii asingekuwepo au kama angekuwepo angekuwa kilema kama Lissu.

Magufuli ameipa hii nchi hasara kubwa sana na tumshukuru Mungu ana akili zisizochunguzika anajua alichokifanya japo wengi wetu bado tuko kwenye giza nene.

Wewe unafikiri lile genge la wasiojulikana huyu Assad hakujua kwamba lipo na linatimiza majukumu yake. Wewe endelea kuota tu.
Umenena vyema huu ndio ukweli

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Spika upo? movie linaendelea....Prof Karudi tena kivingine..... ha ha ha
 
Habishani, anatoa taarifa (account) ya yaliyotokea. Hatarajii jibu wala hii sio kesi kwamba kuna hukumu itatolewa bali ni juu ya wasikilizaji kuamini au kutoamini. Ni kama kuandika kitabu. Majibu ya marehemu wanaotajwa hayatarajiwi.

Uhalali wa kusema sasa ni kwa sababu Hayati alipokuwa hai hakuruhusu fursa ya mtendaji kutoa kero zake popote panapostahili.
Hizo ni allegations mkuu,

Na anayekuwa alleged kufanya a certain act hayupo ili kujibu hizo allegations,

Hapa tunasikia malalamiko ya upande mmoja tu,

Ili kubalance story lazima tumsikie na anayetuhumiwa

Kinachofanyika sasa ni kuhukumiwa kwa marehemu bila kupewa nafasi ya kujitetea which is against the principles of natural justice which requires a party to be given a fair hearing (a right to be heard).

Under the circumstances what is going on is against the principles of natural justice.
 
Profesa Assad amefichua kuwa aliomba nyaraka za ununuzi wa ndege, reli ya SGR pamoja na Bandari ya Bagamoyo kwa kutumia technical reason lakini mkuu wa nchi wa wakati huo alikataa kuzitoa akawa anamtafutia sababu ya kumtoa ofisini.

Prof Assad amesisitiza kuna muda watu wanavunja katiba waziwazi lakini Taifa linashindwa kuwakosoa kutokana na hofu na uwoga.

Prof Assad amesisitiza kwa kukaa kwake ofsini alizihitaji sana hizo nyaraka ili azisome na atoe ushauri wa kibiashara kwani amefanya kazi hizo kwa miaka mingi kabla ya kuwa CAG kabla ya kuzikagua.

Prof Assad ametoa ushauri ni muda muafaka wa serikali kuweka nyaraka wazi kwa Raia wake ili wazichambue na kuboresha mapungufu kuliko Kuzificha Ikulu.

===

Wakati nipo ofisini, katika vitu ambavyo ni vitu vitatu: niliomba SGR, niliomba document ya Air Tanzania upya na niliomba project ya Stiegler's Gorge -- feasibility studies. Na sikupewa hata moja. Nilichopata ilikuwa ni barua kwamba mwaka haujamalizika na kwahiyo ukaguzi wa hesabu si wakati wake.

Na kila mtu mwenye akili alikuwa anajua nilichokuwa nataka kufanya si ukaguzi wa hesabu, lakini ilikuwa ni technical response ya kusogeza muda na kuniondoa katika reli tu. Kwahiyo, mpaka nimeondoka ofisini I never got that information na mpaka sasa hivi sijatafuta na sijasoma.

Wewe ni kama mimi. I'm a private citizen now. Ikitokea taarifa hii ipo wazi, tutaisoma na tutatoa commentary.


Ndugu yangu, wewe hujaongea na Professor Assad haya umeyasikia juu juu tu mahali fulani, sinkweli. Audit huwa haifanyiki hivyo. CAG au Auditor yeyote hushughulika na mteja wake (auditee") kwa habari au dokumenti, hawezi akaenda kwa Rais, labda auditee ndiyo angeenda kwa Rais.

Lakini Rais kaingiaje hapa? Data zote za Stieglers Gorge - feasibility study, business plan, nk. utazikuta TANESCO au RUBADA, na za ndege utazikuta Air Tanzania. Kwa Rais alienda kutafuta nini?

Finally, kila mtu anajua Stieglers Gorge ni ya tangu 1957 hadi leo mabeberu wanaipiga vita. Sikumbuki kuiona kwenye Katiba yaTanzania. NI Assad alikwambia hivo, au Supika Ndugai?
 
Ndugu yangu, wewe hujaongea na Professor Assad haya umeyasikia juu juu tu mahali fulani, sinkweli. Audit huwa haifanyiki hivyo. CAG au Auditor yeyote hushughulika na mteja wake (auditee") kwa habari au dokumenti, hawezi akaenda kwa Rais, labda auditee ndiyo angeenda kwa Rais.

Lakini Rais kaingiaje hapa? Data zote za Stieglers Gorge - feasibility study, business plan, nk. utazikuta TANESCO au RUBADA, na za ndege utazikuta Air Tanzania. Kwa Rais alienda kutafuta nini?

Finally, kila mtu anajua Stieglers Gorge ni ya tangu 1957 hadi leo mabeberu wanaipiga vita. Sikumbuki kuiona kwenye Katiba yaTanzania. NI Assad alikwambia hivo, au Supika Ndugai?
Wewe acha kuongea utafikiri unahutubia "Kindergarten Class", unajifanya hujui kwamba CAG alikatazwa na Magufuli kukagua mahesabu ya Ikulu, Stieglar Gorge, Air Tanzania, Chato Airport wala mapato ya serikali yatokayo kwenye migodi.

Nyie acheni kuandika mambo ya kipuuzi humu kwa ajili ya ushabiki wa kisiasa usio na maana yoyote. Magufuli alikuwa fisadi tu kama mafisadi wengine. That's all. Kadanganye wajinga huko Lumumba.
 
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾👍🏽
Wewe acha kuongea utafikiri unahutubia "Kindergarten Class", unajifanya hujui kwamba CAG alikatazwa na Magufuli kukagua mahesabu ya Ikulu, Stieglar Gorge, Air Tanzania, Chato Airport wala mapato ya serikali yatokayo kwenye migodi.

Nyie acheni kuandika mambo ya kipuuzi humu kwa ajili ya ushabiki wa kisiasa usio na maana yoyote. Magufuli alikuwa fisadi tu kama mafisadi wengine. That's all.
 
Mbona alikuwa kmy muda wote, kumbe naye mnafiki kama wengine.
Ni lini Watanzania mtakubali ukweli kwamba Magufuli alifanya mazuri machache na mambo ya kijinga mengi sana?

Assad kusema haya wakati Magufuli yupo ungekuwa sio ushujaa bali upumbavu. Acheni kudanganya kwamba ni mnafiki. Nyie ndio wanafiki. Magufuli hakuwa na akili sawa za kumfanya Assad aseme haya wakati akiwa hai.
 
Profesa Assad amefichua kuwa aliomba nyaraka za ununuzi wa ndege, reli ya SGR pamoja na Bandari ya Bagamoyo kwa kutumia technical reason lakini mkuu wa nchi wa wakati huo alikataa kuzitoa akawa anamtafutia sababu ya kumtoa ofisini.

Prof Assad amesisitiza kuna muda watu wanavunja katiba waziwazi lakini Taifa linashindwa kuwakosoa kutokana na hofu na uwoga.

Prof Assad amesisitiza kwa kukaa kwake ofsini alizihitaji sana hizo nyaraka ili azisome na atoe ushauri wa kibiashara kwani amefanya kazi hizo kwa miaka mingi kabla ya kuwa CAG kabla ya kuzikagua.

Prof Assad ametoa ushauri ni muda muafaka wa serikali kuweka nyaraka wazi kwa Raia wake ili wazichambue na kuboresha mapungufu kuliko Kuzificha Ikulu.

===

Wakati nipo ofisini, katika vitu ambavyo ni vitu vitatu: niliomba SGR, niliomba document ya Air Tanzania upya na niliomba project ya Stiegler's Gorge -- feasibility studies. Na sikupewa hata moja. Nilichopata ilikuwa ni barua kwamba mwaka haujamalizika na kwahiyo ukaguzi wa hesabu si wakati wake.

Na kila mtu mwenye akili alikuwa anajua nilichokuwa nataka kufanya si ukaguzi wa hesabu, lakini ilikuwa ni technical response ya kusogeza muda na kuniondoa katika reli tu. Kwahiyo, mpaka nimeondoka ofisini I never got that information na mpaka sasa hivi sijatafuta na sijasoma.

Wewe ni kama mimi. I'm a private citizen now. Ikitokea taarifa hii ipo wazi, tutaisoma na tutatoa commentary.


"Katiba hii imenipa Madaraka makubwa sana, siku atakuja mtu ataitumia atakavyo na kuwa kama Mungu". - Mwl. Nyerere 1982.
 
Profesa Assad amefichua kuwa aliomba nyaraka za ununuzi wa ndege, reli ya SGR pamoja na Bandari ya Bagamoyo kwa kutumia technical reason lakini mkuu wa nchi wa wakati huo alikataa kuzitoa akawa anamtafutia sababu ya kumtoa ofisini.

Prof Assad amesisitiza kuna muda watu wanavunja katiba waziwazi lakini Taifa linashindwa kuwakosoa kutokana na hofu na uwoga.

Prof Assad amesisitiza kwa kukaa kwake ofsini alizihitaji sana hizo nyaraka ili azisome na atoe ushauri wa kibiashara kwani amefanya kazi hizo kwa miaka mingi kabla ya kuwa CAG kabla ya kuzikagua.

Prof Assad ametoa ushauri ni muda muafaka wa serikali kuweka nyaraka wazi kwa Raia wake ili wazichambue na kuboresha mapungufu kuliko Kuzificha Ikulu.

===

Wakati nipo ofisini, katika vitu ambavyo ni vitu vitatu: niliomba SGR, niliomba document ya Air Tanzania upya na niliomba project ya Stiegler's Gorge -- feasibility studies. Na sikupewa hata moja. Nilichopata ilikuwa ni barua kwamba mwaka haujamalizika na kwahiyo ukaguzi wa hesabu si wakati wake.

Na kila mtu mwenye akili alikuwa anajua nilichokuwa nataka kufanya si ukaguzi wa hesabu, lakini ilikuwa ni technical response ya kusogeza muda na kuniondoa katika reli tu. Kwahiyo, mpaka nimeondoka ofisini I never got that information na mpaka sasa hivi sijatafuta na sijasoma.

Wewe ni kama mimi. I'm a private citizen now. Ikitokea taarifa hii ipo wazi, tutaisoma na tutatoa commentary.


Za Mataka ATC uliziona na za NSSF ejzi ya miradi ya ujenzi na ununuzi kigamboni nk ilikuwaje na zile safari zetu za kubadilisha suit case airport
 
Profesa Assad amefichua kuwa aliomba nyaraka za ununuzi wa ndege, reli ya SGR pamoja na Bandari ya Bagamoyo kwa kutumia technical reason lakini mkuu wa nchi wa wakati huo alikataa kuzitoa akawa anamtafutia sababu ya kumtoa ofisini.

Prof Assad amesisitiza kuna muda watu wanavunja katiba waziwazi lakini Taifa linashindwa kuwakosoa kutokana na hofu na uwoga.

Prof Assad amesisitiza kwa kukaa kwake ofsini alizihitaji sana hizo nyaraka ili azisome na atoe ushauri wa kibiashara kwani amefanya kazi hizo kwa miaka mingi kabla ya kuwa CAG kabla ya kuzikagua.

Prof Assad ametoa ushauri ni muda muafaka wa serikali kuweka nyaraka wazi kwa Raia wake ili wazichambue na kuboresha mapungufu kuliko Kuzificha Ikulu.

===

Wakati nipo ofisini, katika vitu ambavyo ni vitu vitatu: niliomba SGR, niliomba document ya Air Tanzania upya na niliomba project ya Stiegler's Gorge -- feasibility studies. Na sikupewa hata moja. Nilichopata ilikuwa ni barua kwamba mwaka haujamalizika na kwahiyo ukaguzi wa hesabu si wakati wake.

Na kila mtu mwenye akili alikuwa anajua nilichokuwa nataka kufanya si ukaguzi wa hesabu, lakini ilikuwa ni technical response ya kusogeza muda na kuniondoa katika reli tu. Kwahiyo, mpaka nimeondoka ofisini I never got that information na mpaka sasa hivi sijatafuta na sijasoma.

Wewe ni kama mimi. I'm a private citizen now. Ikitokea taarifa hii ipo wazi, tutaisoma na tutatoa commentary.


Amin, nawaambieni, Halitasalia hapa jiwe juu ya jiwe ambalo halitabomoshwa. Mathayo 24:43
AMEN
 
Back
Top Bottom