bily
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 8,030
- 5,772
Kama ni kweli ameachia ngazi basi VC atoke kwa wagonga nyundo ! Binafsi nitamkumbuka Rwekaza kwa msimamo wake thabiti wa kuibeba CCM ya Jakaya 2005-2015 alikua mshauri wa Khalfani katika politics issue .
PIA ntamkumbuka kwa kuendeleza asili la kabila lake ndani ya kampasi. Bila kusahau ubabe wa kuwazuia wanafunzi kufanya majadiliano ya kitaifa akidai wanafanya siasa huku yeye akiwa mwl wa siasa . Wonders !
Kama kweli umestahafu basi hongera ila Una ukwasi mkubwa Sana.
PIA ntamkumbuka kwa kuendeleza asili la kabila lake ndani ya kampasi. Bila kusahau ubabe wa kuwazuia wanafunzi kufanya majadiliano ya kitaifa akidai wanafanya siasa huku yeye akiwa mwl wa siasa . Wonders !
Kama kweli umestahafu basi hongera ila Una ukwasi mkubwa Sana.