Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
Prof. Mukandala amesema CCM ina wakati mgumu sasa kuliko wakati wowote ule kutoka vyama vya upinzani vianze. Amesema hayo leo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, sehemu ya Mlimani.
Tusubiri zaidi kutoka huko.....
Prof. Mukandala amesema CCM ina wakati mgumu sasa kuliko wakati wowote ule kutoka vyama vya upinzani vianze. Amesema hayo leo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, sehemu ya Mlimani.
Tusubiri zaidi kutoka huko.....
Prof. Mukandala amesema CCM ina wakati mgumu sasa kuliko wakati wowote ule kutoka vyama vya upinzani vianze. Amesema hayo leo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, sehemu ya Mlimani.
Tusubiri zaidi kutoka huko.....
Mkuu utanisamehe lakini sijaona la maana hapa kwa kweli!
If this is what we call breaking news then we are actually out of news!
Mimi nimeingia kwenye hii thread haraka nikijua labda Mkandala ametoa baraka zake kwa Wanafunzi wa UDSM kugoma ili kudai mikopo ya kutosha na mazingira bora ya kujisomea kumbe its just the daily crap!
HUJAKOSEA KABISA MKUU.
Ni kweli kabisa hakuna mpya kwa maana ya kuwa anachokisema kila mtu anakijua, lakini ni 'news' kwa wanahabari kwa kuwa Mkandara anajulikana kama kada wa CCM na si kada tu, bali mwanamtandao, aliyeshiriki kuwazuga Watanzania wakati wa mchakato na baadaye uchaguzi mkuu wa 2005.
Lakini kama walivyosema baadhi yetu humu JF ni kwamba inawezekana ni katika ule mkakati wake wa tokea zamani wa kuendelea kutuzuga tuone kwamba sasa wana CCM wanajikosoa wenyewe na kutuandaa kisaikolojia kabla ya JK kuhutubia Bunge Alhamisi.
Mkuu Halisi,
Sithani kama anawageuka, nathani ni mpango maalumu wa kuwatayarisha wananachi kabla ya hotuba ya rais JK August 21.
HUJAKOSEA KABISA MKUU.
Ni kweli kabisa hakuna mpya kwa maana ya kuwa anachokisema kila mtu anakijua, lakini ni 'news' kwa wanahabari kwa kuwa Mkandara anajulikana kama kada wa CCM na si kada tu, bali mwanamtandao, aliyeshiriki kuwazuga Watanzania wakati wa mchakato na baadaye uchaguzi mkuu wa 2005.
Lakini kama walivyosema baadhi yetu humu JF ni kwamba inawezekana ni katika ule mkakati wake wa tokea zamani wa kuendelea kutuzuga tuone kwamba sasa wana CCM wanajikosoa wenyewe na kutuandaa kisaikolojia kabla ya JK kuhutubia Bunge Alhamisi.
HUJAKOSEA KABISA MKUU.
Ni kweli kabisa hakuna mpya kwa maana ya kuwa anachokisema kila mtu anakijua, lakini ni 'news' kwa wanahabari kwa kuwa Mkandara anajulikana kama kada wa CCM na si kada tu, bali mwanamtandao, aliyeshiriki kuwazuga Watanzania wakati wa mchakato na baadaye uchaguzi mkuu wa 2005.
Lakini kama walivyosema baadhi yetu humu JF ni kwamba inawezekana ni katika ule mkakati wake wa tokea zamani wa kuendelea kutuzuga tuone kwamba sasa wana CCM wanajikosoa wenyewe na kutuandaa kisaikolojia kabla ya JK kuhutubia Bunge Alhamisi.
prof. Mukandala Amesema Ccm Ina Wakati Mgumu Sasa Kuliko Wakati Wowote Ule Kutoka Vyama Vya Upinzani Vianze. Amesema Hayo Leo Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam, Sehemu Ya Mlimani.
Tusubiri Zaidi Kutoka Huko.....
huu Ndio Ule Uandishi Uchwara Uliolalamikiwa Siku Chache Zilizopita (nadhani Ilikua Ni Ippmedia Kama Sikosei).
Kaigeuka Vipi?
Breaking News Gani?
Sijui Tukoje Wengine Humu??????????????????????///
Aaaghhh... Cheap Stuff Like These Bore Stiff Banaaaa
Well there is no breaking news: hata hivyo JF wenyewe kwenye kuchangia kwenye thread hii watatengeneza agenda zao.... watajibizana wenyewe... mwishowe this "udaku" thread itakua na kuwa pages hata zaidi 50.
WanaJF pia wengi kuna maneno wanayapenda kwa hiyo no wonder tutaiparamia hii threads.
Wanzilishi wa Thread now wanajua catch words... nayo ndio hii mheshimiwa ameitumia.
Mungu ibariki Tanzania