Piere. Fm
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,208
- 1,170
Leo nimefarijika sana kupata wziri Kama Prof Muhongo ambaye ni shujaa, kazi zake zinaonekana kabisa hana ubia na mafisadi Napendekeza liwalo na liwe apigwe chini, Prof. Muhongo aendeshe jahazi linalozama TUJADILI HOJA HII
Funguka zaidi kaka kakukosha na lipi ndugu.