Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Mama Mdogo
Ni kweli Prof Muhongo ni jembe la ukweli tatizo ni mifumo yetu haikawii kumweka kando.We subiri atatifutiwa zengwe la kufa mtu.
kaka wapiga zengwe wametibua mengine yanawahangaisha sasa hivi. Mpaka wakae sawa jamaa ameshaonyesha njia...siku hizi sio kama zamani. mambo yakiwa hadharani kuyazima inataka uwe na moyo wa chuma.