Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Muhongo ni jembe lkn watu wema mara nyingi wanaundiwa zengwe,we subiri tu si umeona olesendeka alivyofanya?
Hakika chifu..huu ndiyo mtindo wa Tanzania ya sasa.
Nina wasiwasi pia na kasi ya NIDA..nao waweza kuundiwa zengwe...