Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Namnukulu:
"mwanafunzi mmoja, wakati wa kukimbia mabomu ya FFU aliangukia front face, akapata deep cut amefanyiwa stitches"
tuchukulie kuwa huyo aliyeumia ni mtoto wa mzee Ng'wanambogolo kule kijijini Nyanguge. Akisikia hayo maneno si anaweza kudhani mtoto wake amefaulu mtihani?
hahahaha!!
source: BBC-Swahili
"mwanafunzi mmoja, wakati wa kukimbia mabomu ya FFU aliangukia front face, akapata deep cut amefanyiwa stitches"
tuchukulie kuwa huyo aliyeumia ni mtoto wa mzee Ng'wanambogolo kule kijijini Nyanguge. Akisikia hayo maneno si anaweza kudhani mtoto wake amefaulu mtihani?
hahahaha!!
source: BBC-Swahili