Na hapo ndipo pana tia shaka kwa mtu mnyenyekevu asingepaswa kuvutana sana na boss wake kiasi hicho hadi issue inafika kwa raisi bado hamkubali na ugomvi unaendelea hadi anawatishia kuwafukuza wote!!!!Akiwa Maliasili walizinguana sana na Kigwangala
Wamepandisha kodi kwenye mbolea ulitegemea isipande halafu wanatoa mikwara kwa wafanyabiashara wa pembejeo.Hiki ndio kiwe kipimo cha utendaji wa waziri ndani ya wizara?
Bei ikipanda maradufu kama ilivyo sasa hivi duniani, waziri afanye nini, atoe 'subsidy'? Mbona huu sio uamzi wa waziri pekee yake!
Anyway pamoja na kupanda bei kwa pembejeo mazao mengi yameporomoka bei hasa cereals je waziri hana majibu ya hili pia ?Hiki ndio kiwe kipimo cha utendaji wa waziri ndani ya wizara?
Bei ikipanda maradufu kama ilivyo sasa hivi duniani, waziri afanye nini, atoe 'subsidy'? Mbona huu sio uamzi wa waziri pekee yake!
Bashe ni mpiga kelele tu kama wapiga kelele wengine...tofauti na wanasiasa wengine nadhani Mkenda na Bashe wako open minded.
..nimewasikia mara kwa mara wakisema wako tayari kuwasiliza wadau wa kilimo ili kutatua changamoto zao.
..binafsi I want to see them implement kile walichoahidi tuone kama kitatoa matokeo mazuri.
Bashe ameshakutana na kila sekta ya wakulima umeona akitatua hata changamoto moja ?..tofauti na wanasiasa wengine nadhani Mkenda na Bashe wako open minded.
..nimewasikia mara kwa mara wakisema wako tayari kuwasiliza wadau wa kilimo ili kutatua changamoto zao.
..binafsi I want to see them implement kile walichoahidi tuone kama kitatoa matokeo mazuri.
Nilitazama jana iyo interview binafsi nakuunga mkono.the guy is so smartNi mnyenyekevu
Msomi
Hajikwezi
Mchapakazi.
Anayebisha asikilize kipindi cha dk.45 ITV na radio one leo hii.
Hapo ujue serikali imeondoa ruzuku! Fuatilia.DAP tulkuwa tunanunua kwa 55,000 kwa mfuko. Siku hizi ni 90,000. Bado unasema wizara ina mawaziri wazuri. Usinidanganye.