johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,750
- 141,613
Waziri wa Elimu Profesa Mkenda amesema wanafunzi watakaosoma Kozi za Lugha ya Kiswahili ndio watakaopewa kipaumbele kwenye Mikopo ya Elimu ya Juu.
Lengo ni kupata Wakalimani wengi watakaotafsiri Lugha za Kiingereza, Kichina, Kifaransa, Kichina, Kiisrael, Kihindi, Kihispania nk...nk kwenda Kiswahili
Chanzo: ITV habari
Lengo ni kupata Wakalimani wengi watakaotafsiri Lugha za Kiingereza, Kichina, Kifaransa, Kichina, Kiisrael, Kihindi, Kihispania nk...nk kwenda Kiswahili
Chanzo: ITV habari