Ndio maana akapewa professor ili afanye changes lakin ameshindwaUtamlaumu bure professor. Udumavu wa kilimo nchini ni matokeo ya mipango mibovu ya serikali kwa ujumla tokea tumepata uhuru. Kilimo kimebakia kuwa ngonjera za kisiasa - " kilimo ni uti wa mgongo", " kilimo ni mkombozi wa mtanzania" etc lkn ukipitia kwa makini hakuna seriousness, dedication ya serikali katika kuinua kilimo. Jiulize kilimo kinatengewa budget kiasi gani kila mwaka ndio utatambua kuwa hata uweke Mawaziri wote3 uliowataja kwa pamoja katika wizara hii wataishia kusoma magazeti.
Suala la sukari ni ndoano toka enzi iddi simba waziri ....Swala la sukari mnamuonea huyo mkenda tangu awamu ilopita
Ndio maana akapewa professor ili afanye changes lakin ameshindwa
Moja kati ya haya - Mafuta ya kula, sukari, mbolea/pembejeo, korosho ni kaburi ya kila waziri anaepitia wizara hii.Ndio maana akapewa professor ili afanye changes lakin ameshindwa
Kikubwa kwa viwanda vya ndani hakuna uhusiano na uhaba wa sukari tumia akili ya form wani
Mimi simuoni kama best elite with high IQ sababu zangu ni hizi
Kauli ya kuwa kamwe hatokubali kutoa vibali sio kauli ya level ya wizara ni zaidi ya Mamlaka yake aliongea as if ni Rais au Waziri Mkuu
Ilikua ni sawa kwa Majaliwa kutoa io statement sio Waziri.
Kulinda viwanda vya ndani hakuna mantiki kama viwanda hivyo havifikii malengo ya uzalishaji. Hadi sasa tumeshindwa kwenda na comparative analysis kati ya uzalishaji wa viwanda na importation.
Pia viwanda vya ndani haviwezi kufanya vizuri kama waagizaji wa sukari ndio wamiliki wa viwanda hii inahitaji akili sio kanuni za darasani.
Viwanda vya ndani vitashindana vipi na soko la nje wakati hakuna unafuu kwenye pembejeo, still wakulima wanapractise primitive farming.
Sina shaka nae kwenye utaratibu lakini nina mashaka nae kwenye efficiency.
Bashe he could be better minister coz anajua dhana ya Biashara na Uwekezaji kwa vitendo ilihali Mkenda anajua kwa theory kilimo kinataka skilled practical than theory