USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,664
Huyu hajui kuongea hawezi hata kusema hapa panauma.
Huyu bàdo anakunywa maziwa ya Mama tu kulingana na sera ya melezi na lishe ya kitaifa ya wizara ya afya .
Huyu anahitaji uangalizi wa wazazi na upendo pia
Nani ameruhusu HILI lenye kutia hofu jamii
Wizara mara mojamoja muwe na weledi na hofu ya Mungu pia
USSR
Huyu bàdo anakunywa maziwa ya Mama tu kulingana na sera ya melezi na lishe ya kitaifa ya wizara ya afya .
Huyu anahitaji uangalizi wa wazazi na upendo pia
Nani ameruhusu HILI lenye kutia hofu jamii
Wizara mara mojamoja muwe na weledi na hofu ya Mungu pia
USSR