johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,773
- 139,613
Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Mchembe amesema kuanzia sasa wasemaji wa maswala ya afya ni RMO kwa level ya mkoa na DMO kwa level ya wilaya.
Prof Mchembe amesema waganga wa mikoa na wilaya wana timu za wataalamu na amewataka wanasiasa kutojiingiza kwenye maswala nyeti ya afya.
Kadhalika Prof Mchembe amesema Corona ni ugonjwa wa mlipuko wa maambukizi kwa njia ya hewa kama ilivyo chorela kwa mfumo wa chakula.
Chanzo: ITV habari.
Maendeleo hayana vyama!
Prof Mchembe amesema waganga wa mikoa na wilaya wana timu za wataalamu na amewataka wanasiasa kutojiingiza kwenye maswala nyeti ya afya.
Kadhalika Prof Mchembe amesema Corona ni ugonjwa wa mlipuko wa maambukizi kwa njia ya hewa kama ilivyo chorela kwa mfumo wa chakula.
Chanzo: ITV habari.
Maendeleo hayana vyama!