MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Kuna damu zingine huwa hazimwagwi hovyohovyo mpaka akuruhusu mwenyewe, sasa mpaka na yeye amwage damu zao ndiyo salama ya ndugu zao wakati wao wapo kaburiniHuu ni ukweli usiopingika kwamba serikali ya magufuli badala ya kuonesha utendaji wake sasa ni kujibu hoja za tundu lissu.
Kila kiongozzi wa ccm anapofanya press conference lazima wajibu hoja za lissu. Kwa bahati mbaya viongozi hao ni butu sana kujibu hoja za mhe lissu. Mfano katibu mwenezi ccm taifa ni butu sana kwenye uongozi. Anajisifia kwamba "anajua kiingereza kuliko lissu "swali gumu. Je, ni nani anayemzuia kwenda kwenye kipindi cha Hard talk???
Mbaya zaidi maccm yakifeli kwenye miradi yao wanaweka kusingizia kwamba kuna mwanasiasa mmoja(mhe lissu )anatumwa na mabeberu kuichafua nchi yetu!! Nani mzalendo wa kweli kati ya aliyejenga uwanja chato na anayetetea masilahi ya wananchi wanyonge??
Watanzania tumeshuhudia kila Siku matembezi ikulu kana kwamba ikulu ni ofisi ndogo ya vikoba!! Ikulu imeshushwa hadhi kwasababu ya kutaka kuaminisha umma kiholela kwamba hakuna kiongozi yeyote anayeweza kuliko rais , hii ni njia haramu kuweka mitizamo hasi kwamba anayepinga na kuhoji kama lissu si mzalendo nchi hii. Huu ni uongo wa wazi kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app