Inanambo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 3,985
- 2,764
Barabara ya Bagamoyo - Msata imekamilika . Mbona Mabasi ya Mikoa ya Kaskazini hayapitii? Au ni wastage of Money tena za watz? Au ilikuwa mradi wa JK wa kwenda Msoga akitokea DSM?Ni wazo zuri sana, pia itapunguza foleni katika bara bara ya Samnujoma