yeye nd kafatwa na waandishisi angepanda kimyakimya tu ,anatafuta kiki.
si angepanda kimyakimya tu ,anatafuta kiki.
Aisee kweli JPM kabana hela yaani mpaka waziri anabana matumizi
Nakuunga mkono, kabisa...tujali vyombo vyetu vya usafiri!Yuko sahihi tu,iwe ameenda na waandishi au waandishi ndio wamemfuata,kwasababu yeye ni waziri na hapo ni kuwahamasisha wananchi kuwa kwa sasa usafiri uko poa na kila raia anaweza kusafiri nao.Kwa mana nyingine ni kama anafanyia promo train yetu jambo ambalo si baya.
Hata siku ile alipokuwa mbugani akivuga anachunga ng'ombe alikuwa na wapiga picha kibao. Halafu bavichaa wakashinda hapa kummwagia misifa. Hovyooo kabisa.Bora hata Waziri Mbarawa yuko on a mission ya kikazi klk fisadi lowasa hata akishikwa tumbo anapigwa picha na Wafanyakazi wake na kurushia JF!
nimejikuta nacheka tu.Bora hata Waziri Mbarawa yuko on a mission ya kikazi klk fisadi lowasa hata akishikwa tumbo anapigwa picha na Wafanyakazi wake na kurushia JF!