Giningi01
Senior Member
- Nov 19, 2020
- 186
- 180
Walipata PhD bila MastersEti kwasababu wao waliupata u-Professor bila kupitia Masters!😆😆
R.I.P Prof. Mathew Luhanga!
Walipata PhD bila MastersEti kwasababu wao waliupata u-Professor bila kupitia Masters!😆😆
R.I.P Prof. Mathew Luhanga!
Hee!!Nimesikia kafariki dunia. Ni kweli?
Tulifikiri alikuwa profesa wa kwako. Mechanical Engineering!!R.I.P prof wa mme wangu kipenzi.
Wenye vichwa!!Mbwete alitangulia mbele ya haki. Padre Mkude na Mama Bali wa accommodation according to PUNCH. Kusoma wakati ule UDSM ilikuwa bahati ya wachache aisee
Kati ya hao wawili nani alikuwa anabaniwa? Maana Dr David Mfinanga tunamfahamu vizuri sana. He is exceptional!!Yes!!! Tanzania hakuna prof zaidi yake na mark mwandosya.
Wengine wanapeana tu.
Mtu akikusimamia afu anakuchukia ama hakupendi anatafuta sababu za wewe kukuangusha.
Kuna story Dr Mfinanga na Masaoe mmoja akampeleka mahakamani Mana anambania mwenzake asiwe dokta.
Hata Dr Nyaoro aliukataa Prof Mana ni kupeana Kama wanavyopeana vyeo ,teuzi, kazi, n.k mpaka ujishushe ujinyenyekeze. Prof kanyimwa penzi Mara Caroline akadisco in Roma voice.
Pumzika kwa amani baba,profesa, mtumishi uliyetumikia Taifa lako na kuzalisha watalaamu wanajidai walipo.
Tulianza kumuita profesa mwanzoni mwa miaka ya sitini tukiwa naye N. A. Middle School Mbeya, alikuwa Time Keeper wa shule ni mdogo wake Elijah B. Luhanga aliyewahi kuwa mkurugenzi wa Tanesco.Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. William Anangisye anasikitika kutangaza kifo cha PROF. MATTHEW LUHANGA, aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuanzia 1991 hadi 2006, kilichotokea jioni ya leo tarehe 16.09. 2021. Tunatoa pole kwa familia, Chuo chetu na Tanzania kwa ujumla. Taarifa zaidi tutaendelea kujulishana. Tumwombee apumzike kwa Amani. Amina.
Dkt. Dotto P. Kuhenga, Mratibu wa Mawasiliano na Habari, UDSM.
View attachment 1941008
=======
Professor Matthew Luhanga ndie Mwanasayansi wa Zama hizi mwenye historia iliyotukuka duniani
Yule ni kaka yake, ni wazaliwa wa Mbeya mjini.Ndugu yake
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. William Anangisye anasikitika kutangaza kifo cha PROF. MATTHEW LUHANGA, aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuanzia 1991 hadi 2006, kilichotokea jioni ya leo tarehe 16.09. 2021. Tunatoa pole kwa familia, Chuo chetu na Tanzania kwa ujumla. Taarifa zaidi tutaendelea kujulishana. Tumwombee apumzike kwa Amani. Amina.
Dkt. Dotto P. Kuhenga, Mratibu wa Mawasiliano na Habari, UDSM.
View attachment 1941008
=======
Professor Matthew Luhanga ndie Mwanasayansi wa Zama hizi mwenye historia iliyotukuka duniani
Prof bwana enzi zake akiwa VC UDSM alianza kozi ya Law hapohapo UDSM akadisco mwaka wa kwanza 😀
Huyu Prof bwana enzi zake akiwa VC UDSM alianza kozi ya Law hapohapo UDSM akadisco mwaka wa kwanza 😀ki
Ila wewe hutakuwa DC kamwe.RIP Prof. wetu.
Two years ago his wife alitangulia.
Poleni sana wafiwa, Mungu atawafariji.
P
Dah hapa sijui magufuli alikuwa wapi
Lipumba yule ni feki, mimi nilistukia tu baada ya kuanza kuvuruga wenzie hadi nikaanza kujiuliza mwenyewe huyu ni Prof kweli"Tanzania nzima maProffesor tupo wawili tu ,mimi na prof.Mwandosya"-Prof Luhanga😂😂
Asante umenifumbua sijawahi kujua kumbe kuna Kuhanga na Luhanga.Enzi zetu vc Mlimani alikuwa prof. Nicholas Kuhanga. RIP prof. Mathew Luhanga.
Kwanini hakusoma masters?Siyo kweli Prof Luhanga alisoma Masters ila Prof Mwandosya hakusoma Masters.
Imesemwa ni makamu mkuu wa chuo cha udsm mstaafu mwenye heshima na ambaye siasa haikuanza kuingizwa ndani wkt huoWho is he please?
Hata mm nilikuwepo siku hyo, alisema huwezi kuwa professor wa kiswahili au development study kisha ukajisifu eti ww ni professor! Nchi hii maprofessor tumebaki wawili tu mm na mwingine hayupo hapa anaitwa mark mwandosya" mbele ya jk na asha rose migiro nafikiri kulikua na uzinduzi wa coet kama kumbukumbu zangu ziko sahihi.Nakumbuka siku moja tukiwa Mlimani UDSM, nilimsikia akisema alikuwa ana mheshimu Prof. Mark James Mwandosya tu!!!
R.I.P Prof. Mathew Luhanga!
Mbona Pascal Mayalla ameandika Kuwa huyu kafiwa na mkewe hapa mbona kuna doubt