mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,028
- 35,860
Watu wajasiri,mtoto wa nyerere nae aliwahi kudisco UDSM miaka hiyoKivipi Mkuu? Huyo aliyem disco alikuwa na ujasiri wa kujifunika shuka moja na nyoka
Watu wajasiri,mtoto wa nyerere nae aliwahi kudisco UDSM miaka hiyoKivipi Mkuu? Huyo aliyem disco alikuwa na ujasiri wa kujifunika shuka moja na nyoka
Am very sorry kusema we ni kiazi,yaani unaona mtu na mkewe kufa ni kitu cha ajabu au,jingaaa kabisa weweBaada ya mkewe kufa mwaka juzi unataka kutuambia nini? Au unataka naye tumuunganishe na kifo cha mkewe. Nilidhani mambo haya yako kwenye Saloon ya Mamakimbo tu.
Mpigie namba yake ipo hapo juuNimesikia kafariki dunia. Ni kweli?
Naanzia wapi sasa ?Mimi ni married mom.
Kwa Username hii au na zile nyingine?Naanzia wapi sasa ?Mimi ni married mom.
Na hii je?Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. William Anangisye anasikitika kutangaza kifo cha PROF. MATTHEW LUHANGA, aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuanzia 1991 hadi 2006, kilichotokea jioni ya leo tarehe 16.09. 2021. Tunatoa pole kwa familia, Chuo chetu na Tanzania kwa ujumla. Taarifa zaidi tutaendelea kujulishana. Tumwombee apumzike kwa Amani. Amina.
Dkt. Dotto P. Kuhenga, Mratibu wa Mawasiliano na Habari, UDSM.
View attachment 1941008
=======
Professor Matthew Luhanga ndie Mwanasayansi wa Zama hizi mwenye historia iliyotukuka duniani
No.Mimi ni biologyTulifikiri alikuwa profesa wa kwako. Mechanical Engineering!!
User name ninayo hii pekee yake.Kwa Username hii au na zile nyingine?
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. William Anangisye anasikitika kutangaza kifo cha PROF. MATTHEW LUHANGA, aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuanzia 1991 hadi 2006, kilichotokea jioni ya leo tarehe 16.09. 2021. Tunatoa pole kwa familia, Chuo chetu na Tanzania kwa ujumla. Taarifa zaidi tutaendelea kujulishana. Tumwombee apumzike kwa Amani. Amina.
Dkt. Dotto P. Kuhenga, Mratibu wa Mawasiliano na Habari, UDSM.
View attachment 1941008
=======
Professor Matthew Luhanga ndie Mwanasayansi wa Zama hizi mwenye historia iliyotukuka duniani
Puuzia ile .Ile ilikuwa changamsha thread tu.Sawa mpendwa, nachukua kauli hii ya mwisho...ile ya zamani kwenye ule uzi mwingine naipuuzia 😊
Ahahahah nimekupa tenda kwenye Username yako ile...umeiona?No.Mimi ni biology
User name ninayo hii pekee yake.
Hiyo message ya juu nilikuwa ninamjibu mtu mwingine.Ahahahah nimekupa tenda kwenye Username yako ile...umeiona?
Biology, kwa fani gani UD?No.Mimi ni biology
User name ninayo hii pekee yake.
Mimi sijasoma mlimani. Mlimani nilikuwa nakuja kula kwale kwa Bwashee. Nimesoma Muhimbili.Biology, kwa fani gani UD?
Mwaka gani?Mimi sijasoma mlimani. Mlimani nilikuwa nakuja kula kwale kwa Bwashee. Nimesoma Muhimbili.
Kumaliza au kuanza ?Mwaka gani?
Wewe nawe. Haunifahamu kabisa. Sema unahisi tu.Nakujua
Kuanza mpaka kumaliza!Kumaliza au kuanza ?