Prof. Mark Mwandosya: Kikwete aliniteua kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu hadi 2020, leo Msekwa anachukua nafasi hiyo..

Prof Mwandsya pamoja Na Elimu yake yote Kumbe Hajui Rais wa Nchi hana Mamlaka ya kutengua vyeo viwili tu Kati ya vyote alivypewa Mamlaka ya ya kuteua
1) Mdhibiti Na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu Za Serikal
2) Jaji Mkuu


Kama Rais anaweza kuamka Asubuhi na kuvunja Bunge zima Na wote pamoja Na Yeye Rais wakarudi Kwenye Uchaguzi Ndo asiwe Na Mamlaka ya kutumbua Mkuu wa Chuo Cha huko MabOnde kuinama!

Hii Katiba inayomsonOnesha Mwandosya ndio hiyo hiyo imemfanya akawa Mheshimiwa
Na hao wote ni maustaadh!
 
Hivi CV ya mwandosya Na ya Msekwa kwenye kuongoza chuo cha Uhandisi Kweli hatupo sirias
Msekwa ni wa kumpa chuo cha diplomasia kurasini au Kile chuo kilichopo karibu na ikulu ama Chuo cha sanaa bagamoyo...
Unajua kazi zao Kweli Kwa nafasi hiyo?

Hawajachaguliwa Kuwa VC
 
Tena mm ningekuwa JPM, ningemfuta kazi siku nyingi huyu Prof. uchwara, kaiua TTCL, Airtel alifanya ufisadi na bado akawa anapinga maendeleo serikali awamu ya 5 inayofanya.. Mm ningemfyekelea mbali muda, sana.. JPM kambeba beba, mm singefanya hivyo.. unipinge pinge huku nikijua ume fisidi sana na nikuache ulipwe mshahara bure bure.. Nakufyeka kabisa
 
Prof Mwandsya pamoja Na Elimu yake yote Kumbe Hajui Rais wa Nchi hana Mamlaka ya kutengua vyeo viwili tu Kati ya vyote alivypewa Mamlaka ya ya kuteua
1) Mdhibiti Na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu Za Serikal
2) Jaji Mkuu


Kama Rais anaweza kuamka Asubuhi na kuvunja Bunge zima Na wote pamoja Na Yeye Rais wakarudi Kwenye Uchaguzi Ndo asiwe Na Mamlaka ya kutumbua Mkuu wa Chuo Cha huko MabOnde kuinama!

Hii Katiba inayomsonOnesha Mwandosya ndio hiyo hiyo imemfanya akawa Mheshimiwa
Kwani huyu mzee si alikuwa Waziri asiye na Wizara Maalum? JK alibeba tu inaonesha wazi hana kitu
 
Hivi CV ya mwandosya Na ya Msekwa kwenye kuongoza chuo cha Uhandisi Kweli hatupo sirias
Msekwa ni wa kumpa chuo cha diplomasia kurasini au Kile chuo kilichopo karibu na ikulu ama Chuo cha sanaa bagamoyo...
Kwani mkuu wa chuo ana kazi hasa?
 
Magufuli anawaogopa wale watu wote ambao ni tishio kwenye kiti chake cha enzi. Hats kwa membe so mmeona?
Hivi mwandosya awe tishio kwa Magu kwa kipi hasa alichofanya Mwandosya! mi naona anabebwa tu mpaka aliwai kuwa waziri asiye na wizara maalum banah!
 
Hana tofauti na yule aliyepiga magoti kuomba arudishwe kazini.

Kwakweli haiingii akilini jitu somi lina lilia cheo cha kupewa, Akafundishe kwanza tuna vyuo vingi vina uhaba wa waalimu
 
Nadhani kila mtu anapenda kufanya kazi na mtu wanayeongea lugha moja ili kufanikiwa lengo lake
 
Huyu mzee anataka dezo zote apewe yeye. JK alipomhifadhi pale ikulu kwa kipindi kirefu kama waziri bila wizara maalun alifarijika sana, na kila siku bungeni ilikuwa kumsema JK alivyo na roho ya malaika! Ila JK alipokuja na jina la JPM kwenye uteuzi wa mgombea, akabadirika ghafla: hii cyo sawa! amependelewa huyu, utaratibu haukufuatwa...n.k.! Alitaka jina lipelekwe lake tu. Ni mbinafsi kupindukia huyu jamaa!
 
Hii inafikirisha! NI kwamba Prof. anaondolewa kiaina kwenye utawala wa JPM?

Picha lilianzia hapa >> Prof. Mark Mwandosya aenguliwa Uenyekiti Bodi ya chuo cha Mwalimu Nyerere; nafasi yake apewa Stephen Wasira - JamiiForums

Kisha leo ikafuatia >> Rais Magufuli afanya uteuzi wa Viongozi mbalimbali wa Taasisi za Umma - JamiiForums

Baada ya nafasi yake kunyakuliwa tena, Prof. amefunguka ya moyoni;

"Aprili 2014 Mhe. Kikwete aliniteua Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya kwa kipindi kinachoisha 2020. Mhe. Pius Msekwa anachukua nafasi hiyo kuanzia leo. Nampongeza. Nashukuru kwa heshima ya kuwa Mlezi Mkuu wa Chuo. Asanteni jumuiya ya Chuo kwa ushirikiano mlionipatia". Prof. Mark Mwandosya.



Kwa wanaomfuatilia Profesa huko mitandaoni, watabaini ni kwa kiasi gani amekuwa mkosoaji mkubwa wa madudu yanayofanyika katika serikali hii ya awamu ya 5. Je, huenda hilo ndilo limepelekea muda wake ''kukatishwa' na kuondolewa kabisa kwenye utawala wa bwana mkubwa?

Mamlaka iliyomweka ndio hiyohiyo imemtoa atulie sasa
 
Back
Top Bottom