Prof. Mark Mwandosya: Kikwete aliniteua kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu hadi 2020, leo Msekwa anachukua nafasi hiyo..

Interest

JF-Expert Member
Apr 11, 2015
3,433
7,055
Hii inafikirisha! NI kwamba Prof. anaondolewa kiaina kwenye utawala wa JPM?

Picha lilianzia hapa >> Prof. Mark Mwandosya aenguliwa Uenyekiti Bodi ya chuo cha Mwalimu Nyerere; nafasi yake apewa Stephen Wasira - JamiiForums

Kisha leo ikafuatia >> Rais Magufuli afanya uteuzi wa Viongozi mbalimbali wa Taasisi za Umma - JamiiForums

Baada ya nafasi yake kunyakuliwa tena, Prof. amefunguka ya moyoni;

"Aprili 2014 Mhe. Kikwete aliniteua Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya kwa kipindi kinachoisha 2020. Mhe. Pius Msekwa anachukua nafasi hiyo kuanzia leo. Nampongeza. Nashukuru kwa heshima ya kuwa Mlezi Mkuu wa Chuo. Asanteni jumuiya ya Chuo kwa ushirikiano mlionipatia". Prof. Mark Mwandosya.



Kwa wanaomfuatilia Profesa huko mitandaoni, watabaini ni kwa kiasi gani amekuwa mkosoaji mkubwa wa madudu yanayofanyika katika serikali hii ya awamu ya 5. Je, huenda hilo ndilo limepelekea muda wake ''kukatishwa' na kuondolewa kabisa kwenye utawala wa bwana mkubwa?
 
Kwa hiyo mandosya ugali umemwagika ila kayataka mwwnyewe si ni juzi juzi hapa kama alikuwa anaanza kuwa na matamko matamko yake huko twiter?
 
Prof Mwandsya pamoja Na Elimu yake yote Kumbe Hajui Rais wa Nchi hana Mamlaka ya kutengua vyeo viwili tu Kati ya vyote alivypewa Mamlaka ya ya kuteua
1) Mdhibiti Na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu Za Serikal
2) Jaji Mkuu


Kama Rais anaweza kuamka Asubuhi na kuvunja Bunge zima Na wote pamoja Na Yeye Rais wakarudi Kwenye Uchaguzi Ndo asiwe Na Mamlaka ya kutumbua Mkuu wa Chuo Cha huko MabOnde kuinama!

Hii Katiba inayomsonOnesha Mwandosya ndio hiyo hiyo imemfanya akawa Mheshimiwa
 
Prof Mwandsya pamoja Na Elimu yake yote Kumbe Hajui Rais wa Nchi hana Mamlaka ya kutengua vyeo viwili tu Kati ya vyote alivypewa Mamlaka ya ya kuteua
1) Mdhibiti Na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu Za Serikal
2) Jaji Mkuu


Kama Rais anaweza kuamka Asubuhi na kuvunja Bunge zima Na wote pamoja Na Yeye Rais wakarudi Kwenye Uchaguzi Ndo asiwe Na Mamlaka ya kutumbua Mkuu wa Chuo Cha huko MabOnde kuinama!

Hii Katiba inayomsonOnesha Mwandosya ndio hiyo hiyo imemfanya akawa Mheshimiwa
ndio maana Mwl J. K aliyesema kwa katiba tuliyonayo akipatikana rais mbovu ni hatari
 
Prof Mwandsya pamoja Na Elimu yake yote Kumbe Hajui Rais wa Nchi hana Mamlaka ya kutengua vyeo viwili tu Kati ya vyote alivypewa Mamlaka ya ya kuteua
1) Mdhibiti Na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu Za Serikal
2) Jaji Mkuu


Kama Rais anaweza kuamka Asubuhi na kuvunja Bunge zima Na wote pamoja Na Yeye Rais wakarudi Kwenye Uchaguzi Ndo asiwe Na Mamlaka ya kutumbua Mkuu wa Chuo Cha huko MabOnde kuinama!

Hii Katiba inayomsonOnesha Mwandosya ndio hiyo hiyo imemfanya akawa Mheshimiwa
Kasome tena katiba hakuna teuzi ambayo magifuli anashindwa kutengua.
Soma ibara 144,2 hapo.
 
26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom