Makyomwango
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 322
- 79
Wana jamii
Jana zilienea habari juu ya kufariki kwa waziri w maji Prof Mwandosya katika mikoa ya Mbeya na Dar es Salaam. hata hivyo baada ya kufuatilia niliweza kuongea na mtu wa kalibu naye ambaye alinieleza kuwa alikuwa ameongea na prof pamoja na mke wake mida ya saa 1:30 usiku wakiwa wachangamfu.
nawaomba watu walio kalibu na familia ya prof waendelee kutujuza maendeleo ya kiafya prof huko india. naomba pia tuendelee kujuzwa juu ya hali ya kiafya ya Dr Mwakyembe anayesadikiwa kalishwa sumu na kupelekwa india
nawasilisha
Jana zilienea habari juu ya kufariki kwa waziri w maji Prof Mwandosya katika mikoa ya Mbeya na Dar es Salaam. hata hivyo baada ya kufuatilia niliweza kuongea na mtu wa kalibu naye ambaye alinieleza kuwa alikuwa ameongea na prof pamoja na mke wake mida ya saa 1:30 usiku wakiwa wachangamfu.
nawaomba watu walio kalibu na familia ya prof waendelee kutujuza maendeleo ya kiafya prof huko india. naomba pia tuendelee kujuzwa juu ya hali ya kiafya ya Dr Mwakyembe anayesadikiwa kalishwa sumu na kupelekwa india
nawasilisha