Mnyitono 2
Member
- Oct 29, 2010
- 16
- 1
Waziri wa mawasiliano sayansi na technolojia prof.Makame Mnyaa leo hii alikuwa Mbeya katika Taasisi ya Sayansi naTecknolojia Mbeya kwenye mahafali ya 5.Ameweza kuwatunukia wahitimu zaidi ya 200 vyeti vya stashahada.Na pia amewatunuku wanafunzi 8 waliofanya vizuri zawadi mbalimbali.Pamoja na hayo aliyeongoza kiubora zaidi ni msichana.Na ameahidiwa kupewa sponsorship ya kwenda nje ya nchi kusoma.