BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
ama kweli mganga hajigangi.....
The Boss swali hilo mi pia hunisumbua ni Prof wa nini?
...huyu si anawapanga watu foleni kutatua matatizo yao yote, tumbo tu ameenda India? Watu waelewe kuwa hawa waganga ni wasanii tu, anatoa dawa ya utajiri wakati yy mwnyw analala kwny kibanda cha nyasi. On a different note: nadhani huyu Bwana aligombea Ubunge kupromote biashara yake ya kuwapa tiba watu wanaotafuta uongozi, kawaonyesha namna ili apate wafuasi wengi.
Mh. Maji marefu anasumbuliwa na ugonjwa wa tumbo ambapo kwa sasa amepelekwa India, alianza kuugua tangu kikao cha Bunge kilichopita ambapo alilazwa hospital ya Mkoa wa dodoma'GENERAL' kisha akapelekwa muhimbili, lakini katibu wa bunge Dr Kashilila alithibitisha hilo na akasema kuwa kwa sasa amepelekwa hospitali ya 'VIGOGO' ya APOLLO.
Hapa ndo naamini kuwa mganga hajigangi.
sas yeye ni profesa wa nini?
tiba ipi?
Sina uhakika kama wale wakenya aliowapora malizao pamoja na mama yao kama amewarudishia.
Ugua Pole ,tunakuombea upone haraka.