Prof. Maghembe asihusishwe na kashfa ya Faru John

Frey Cosseny

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
1,984
1,405
Baadhi ya watu wanamhusisha Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Maghembe Jumanne na kashifa ya upotevu wa faru john, jamani tuache kutuhumu watu bila kuwa na ushahidi,

Waziri Maghembe aliteuliwa mwanzoni mwa mwaka huu 2016, Kashifa ya kupotea faru john aliikuta imeshatokea mwaka Jana na wakati inatokea kashifa hiyo Prof. Maghembe alikuwa waziri wa Maji na Umwagiliaji, Kwa hali kama hiyo Prof. Maghembe anahusikaje ?

Jamani tuwe na akiba ya maneno. Tusilete Chuki binafsi katika Kazi Za Taifa.

bcf9f4a9143c48da162ec205d56a1ce4.jpg
 
Hii wizara ni ngumu sana waziri Maghembe wanataka kumgeuza mbuzi wa kafara.Sitoshangaa operesheni mbalimbali za kukomesha ujangili zilizotekelezwa karibuni zikasababisha kibarua chake kuota nyasi.Kaghasheki yalimkuta pia baada ya kukamata shehena kuwa ya meno ya tembo Mikocheni.
 
Baadhi ya watu wanamhusisha Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Maghembe Jumanne na kashifa ya upotevu wa faru john, jamani tuache kutuhumu watu bila kuwa na ushahidi,

Waziri Maghembe aliteuliwa mwanzoni mwa mwaka huu 2016, Kashifa ya kupotea faru john aliikuta imeshatokea mwaka Jana na wakati inatokea kashifa hiyo Prof. Maghembe alikuwa waziri wa Maji na Umwagiliaji, Kwa hali kama hiyo Prof. Maghembe anahusikaje ?

Jamani tuwe na akiba ya maneno. Tusilete Chuki binafsi katika Kazi Za Taifa.

bcf9f4a9143c48da162ec205d56a1ce4.jpg
Kinachomponza ni majibu yake kwa PM.
 
Baadhi ya watu wanamhusisha Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Maghembe Jumanne na kashifa ya upotevu wa faru john, jamani tuache kutuhumu watu bila kuwa na ushahidi,

Waziri Maghembe aliteuliwa mwanzoni mwa mwaka huu 2016, Kashifa ya kupotea faru john aliikuta imeshatokea mwaka Jana na wakati inatokea kashifa hiyo Prof. Maghembe alikuwa waziri wa Maji na Umwagiliaji, Kwa hali kama hiyo Prof. Maghembe anahusikaje ?

Jamani tuwe na akiba ya maneno. Tusilete Chuki binafsi katika Kazi Za Taifa.

bcf9f4a9143c48da162ec205d56a1ce4.jpg
Kama wewe ndiye Magembe au kakutuma kupima upepo basi mmenoa
 
Baadhi ya watu wanamhusisha Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Maghembe Jumanne na kashifa ya upotevu wa faru john, jamani tuache kutuhumu watu bila kuwa na ushahidi,

Waziri Maghembe aliteuliwa mwanzoni mwa mwaka huu 2016, Kashifa ya kupotea faru john aliikuta imeshatokea mwaka Jana na wakati inatokea kashifa hiyo Prof. Maghembe alikuwa waziri wa Maji na Umwagiliaji, Kwa hali kama hiyo Prof. Maghembe anahusikaje ?

Jamani tuwe na akiba ya maneno. Tusilete Chuki binafsi katika Kazi Za Taifa.

bcf9f4a9143c48da162ec205d56a1ce4.jpg
Boss, ni kweli waziri alikuwa wizara nyingine lakni ukweli ni kwamba unapokabidhiwa ofisi ambayo mwenzako anaiacha lazima kuwe na "makabidhiano rasmi" na si vinginevyo,,,,! Kama ni kweli hayo makabidhiano yalifanyika kati ya waziri aliyekuwa anaondoka na waziri aliyekuwa anaingia, ni kwa nn,, ,????

1:Hili sakata la kupotea Faru John halikuibuka mara tu baada ya waziri kukabidhiwa ofisi,,,,? Kwa nn liibuke Leo,,,,?

2 Waziri mwenye dhamana alitolee maelezo wakati ni jambo ambalo lilifanyika kabla ya utawala wake.,?
 
sasa si umwache ajitetee mwenyewe? km ni hivyo hofu ya nini? wengine tushachoshwa hizi habari
Baadhi ya watu wanamhusisha Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Maghembe Jumanne na kashifa ya upotevu wa faru john, jamani tuache kutuhumu watu bila kuwa na ushahidi,

Waziri Maghembe aliteuliwa mwanzoni mwa mwaka huu 2016, Kashifa ya kupotea faru john aliikuta imeshatokea mwaka Jana na wakati inatokea kashifa hiyo Prof. Maghembe alikuwa waziri wa Maji na Umwagiliaji, Kwa hali kama hiyo Prof. Maghembe anahusikaje ?

Jamani tuwe na akiba ya maneno. Tusilete Chuki binafsi katika Kazi Za Taifa.

bcf9f4a9143c48da162ec205d56a1ce4.jpg
 
Baadhi ya watu wanamhusisha Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Maghembe Jumanne na kashifa ya upotevu wa faru john, jamani tuache kutuhumu watu bila kuwa na ushahidi,

Waziri Maghembe aliteuliwa mwanzoni mwa mwaka huu 2016, Kashifa ya kupotea faru john aliikuta imeshatokea mwaka Jana na wakati inatokea kashifa hiyo Prof. Maghembe alikuwa waziri wa Maji na Umwagiliaji, Kwa hali kama hiyo Prof. Maghembe anahusikaje ?

Jamani tuwe na akiba ya maneno. Tusilete Chuki binafsi katika Kazi Za Taifa.

bcf9f4a9143c48da162ec205d56a1ce4.jpg
Maybe kosa kuu ni failure to take action! Huyu hastahili kuwa katika hiyo wizara maana ameshaua tourism. Kama alikuwa anatekeleza maagizo mi sijui. Tusubiri ATCL iongeze watalii.
 
CCM bado inatupa na kutuletea umaskini mabaya yote yamejaa CCM, majangili. Mafisadi nk
Na mkuu alisha sema makaburi mengine hawazi kuyafukua kwani akisha yafukua yatamshinda kufukia.
Pia wasiwe na Shaka atawalinda tuuuuu
Tutalalamika sana bila msaada wowote kwani serikali haya inayaona na kuyajua
 
Baadhi ya watu wanamhusisha Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Maghembe Jumanne na kashifa ya upotevu wa faru john, jamani tuache kutuhumu watu bila kuwa na ushahidi,

Waziri Maghembe aliteuliwa mwanzoni mwa mwaka huu 2016, Kashifa ya kupotea faru john aliikuta imeshatokea mwaka Jana na wakati inatokea kashifa hiyo Prof. Maghembe alikuwa waziri wa Maji na Umwagiliaji, Kwa hali kama hiyo Prof. Maghembe anahusikaje ?

Jamani tuwe na akiba ya maneno. Tusilete Chuki binafsi katika Kazi Za Taifa.

bcf9f4a9143c48da162ec205d56a1ce4.jpg
Kaa utulie, tena utulie kabisaa.
Kwa mtumishi wa umma mwandamizi (senior civil servant) kukurupuka, kuingizwa kingi au kukosa umakini ni kosa kubwa sana.
 
Mbona alikaa kimya, bila ya PM, kulianzisha si lingepita kimyakimya, some how ukimya wake unatufanya tujiulize kwa nn alishindwa kujua kuhusu huyo faru.
Yeye kama waziri wa wizara husika hana jinsi ya kukwepa hilo ni vema akawachia ngazi ili kulinda heshima yake
 
Back
Top Bottom