Prof. Maghembe amekalia kuti kavu

Wadau, amani iwe kwenu.

Binafsi nilikuwa ni miongoni mwa watu ambao tulionesha wasiwasi wetu mara tu baada ya Prof Maghembe kuteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii. Wasiwasi wangu haukutokana na location ambayo Prof Maghembe anatoka bali ni kutokana na ugumu wa Wizara hiyo na uwezo wa Maghembe kukabiliana na changamoto za Wizara.

Hakika nilikuwa sahihi kumjudge negatively. Huko Kagera, Mhifadhi Mkuu wa Pori amefukuzwa kazi kutokana na kuwaondoa watu waliovamia pori hilo kwa kukata miti na kuingiza mifugo mingi. Mhifadhi huyo amefukuzwa kutokana na amri ya Mamlaka ya Juu ya Wizara.

Kama hiyo haitoshi, kuna operesheni inayoendelea ya kuwakamata vibompa wa Meno ya Tembo. Operesheni hiyo imeanza juzi. Hata hivyo, mamlaka ya Juu ya Wizara ya Maliasili na Utalii ikaingilia kati ili wanaohusika na biashara hiyo akiwemo jamaa mmoja anayejulikana kwa jina la Mpemba asikamatwe. Bahati nzuri Mheshimiwa Rais aliinyaka hiyo hewani na akasimama yeye mwenyewe kuongoza Operesheni hiyo. Hivi tunavyozungumza hali ni mbaya sana kwa hao jamaa ambao walidhani kuwa kwa nguvu ya pesa waliyonayo hawawezi kukamatwa.

Kwa mifano hii michache, sioni wapi ataponea Prof Maghembe. Jipu tayari limeiva na litatumbuliwa soon.
Katika siku zote leo ndio nimekuona kichwa! hongera sana mkuu

hata mimi nimeshangaa ile taarifa ya kuachiwa kwa mifugo bila masharti yoyote
 
Mkuu wangu umesema nilichokuwa nataka kusema...huh ulikuwa ni mzigo toka enzi na enzi...na kama mukulu alipitia majina ya mawaziri wote na rekodi zao za utendaji wa Kazi...Basi kwa Magembe inawezekana alipigwa kipapai akampa tu Kazi bila kujijua.

Bwana yule ni mzigo na utaendelea kuwa mzigo popote pale atakapopelekwa.

Kila mtu ana jinsi Mungu wake alivomuumba ila ikifika mtu unakuwa hata mvivu kuongea tena waziri...inatia kinyaa



Magu hayuko makini katika uteuzi wake na haya ndio matokeo yake.

Historia ya Maghembe alikuwa haijui?Huyu si alikuwa mmoja wa mawaziri mizigo enzi za Kikwete?Haya alikuwa hayajui wakati anampa uwaziri?

Magu nae ni tatizo tena kubwa tu
 
Na
Wadau, amani iwe kwenu.

Binafsi nilikuwa ni miongoni mwa watu ambao tulionesha wasiwasi wetu mara tu baada ya Prof Maghembe kuteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii. Wasiwasi wangu haukutokana na location ambayo Prof Maghembe anatoka bali ni kutokana na ugumu wa Wizara hiyo na uwezo wa Maghembe kukabiliana na changamoto za Wizara.

Hakika nilikuwa sahihi kumjudge negatively. Huko Kagera, Mhifadhi Mkuu wa Pori amefukuzwa kazi kutokana na kuwaondoa watu waliovamia pori hilo kwa kukata miti na kuingiza mifugo mingi. Mhifadhi huyo amefukuzwa kutokana na amri ya Mamlaka ya Juu ya Wizara.

Kama hiyo haitoshi, kuna operesheni inayoendelea ya kuwakamata vibompa wa Meno ya Tembo. Operesheni hiyo imeanza juzi. Hata hivyo, mamlaka ya Juu ya Wizara ya Maliasili na Utalii ikaingilia kati ili wanaohusika na biashara hiyo akiwemo jamaa mmoja anayejulikana kwa jina la Mpemba asikamatwe. Bahati nzuri Mheshimiwa Rais aliinyaka hiyo hewani na akasimama yeye mwenyewe kuongoza Operesheni hiyo. Hivi tunavyozungumza hali ni mbaya sana kwa hao jamaa ambao walidhani kuwa kwa nguvu ya pesa waliyonayo hawawezi kukamatwa.

Kwa mifano hii michache, sioni wapi ataponea Prof Maghembe. Jipu tayari limeiva na litatumbuliwa soon.
nashauri huyu akitumbuliwa basi wizara achiwe katibu mkuu, mawaziri hawana tija tena kila siku wanaboronga.
 
Pia Mwambie Jpm Wakati Analishughulikia Hili Asilahau Na Issue Ya Yule Alieuza Twiga Wetu.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Binafsi nilikuwa ni miongoni mwa watu ambao tulionesha wasiwasi wetu mara tu baada ya Prof Maghembe kuteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii. Wasiwasi wangu haukutokana na location ambayo Prof Maghembe anatona ugumu wa Wizara hiyo na uwezo wa Maghembe kukabiliana na changamoto za Wizara.

Hakika nilikuwa sahihi kumjudge negatively. Huko Kagera, Mhifadhi Mkuu wa Pori amefukuzwa kazi kutokana na kuwaondoa watu waliovamia pori hilo kwa kukata miti na kuingiza mifugo mingi. Mhifadhi huyo amefukuzwa kutokana na amri ya Mamlaka ya Juu ya Wizara.

Kama hiyo haitoshi, kuna operesheni inayoendelea ya kuwakamata vibompa wa Meno ya Tembo. Operesheni hiyo imeanza juzi. Hata hivyo, mamlaka ya Juu ya Wizara ya Maliasili na Utalii ikaingilia kati ili wanaohusika na biashara hiyo akiwemo jamaa mmoja anayejulikana kwa jina la Mpemba asikamatwe. Bahati nzuri Mheshimiwa Rais aliinyaka hiyo hewani na akasimama yeye mwenyewe kuongoza Operesheni hiyo. Hivi tunavyozungumza hali ni mbaya sana kwa hao jamaa ambao walidhani kuwa kwa nguvu ya pesa waliyonayo hawawezi kukamatwa.

Kwa mifano hii michache, sioni wapi ataponea Prof Maghembe. Jipu tayari limeiva na litatumbuliwa soon.
Hatua ya proff maghembe inashangaza. Eneo hilo linafahamika kuvamiwa na wafugaji wanyarwanda wa jamii ya kitutsi. Wanatoa rushwa kwa vigogo na huwafanyia wenyeji vitendo vya kinyama ikiwa ni pamoja na kufanya mauaji ya wale wenye ujasiri kuwapinga. Uamuzi wa proff yafaa kuchunguzwa kama ni kwa manufaa ya nani.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Binafsi nilikuwa ni miongoni mwa watu ambao tulionesha wasiwasi wetu mara tu baada ya Prof Maghembe kuteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii. Wasiwasi wangu haukutokana na location ambayo Prof Maghembe anatoka bali ni kutokana na ugumu wa Wizara hiyo na uwezo wa Maghembe kukabiliana na changamoto za Wizara.

Hakika nilikuwa sahihi kumjudge negatively. Huko Kagera, Mhifadhi Mkuu wa Pori amefukuzwa kazi kutokana na kuwaondoa watu waliovamia pori hilo kwa kukata miti na kuingiza mifugo mingi. Mhifadhi huyo amefukuzwa kutokana na amri ya Mamlaka ya Juu ya Wizara.

Kama hiyo haitoshi, kuna operesheni inayoendelea ya kuwakamata vibompa wa Meno ya Tembo. Operesheni hiyo imeanza juzi. Hata hivyo, mamlaka ya Juu ya Wizara ya Maliasili na Utalii ikaingilia kati ili wanaohusika na biashara hiyo akiwemo jamaa mmoja anayejulikana kwa jina la Mpemba asikamatwe. Bahati nzuri Mheshimiwa Rais aliinyaka hiyo hewani na akasimama yeye mwenyewe kuongoza Operesheni hiyo. Hivi tunavyozungumza hali ni mbaya sana kwa hao jamaa ambao walidhani kuwa kwa nguvu ya pesa waliyonayo hawawezi kukamatwa.

Kwa mifano hii michache, sioni wapi ataponea Prof Maghembe. Jipu tayari limeiva na litatumbuliwa soon.

Yule jamaa ni zigo hasa sijui kwa nin rais alimteua
 
Sijawai kukuunga mkoni lakini kwa ili nakunga magembe hafai kwenye sekta ya Utali... kuna sakata linafukuta lingine la wadau wa UTALI KANDA YA KASKAZINI.. taarifa zimenifikia mezani kwangu hapa kwenye chumba cha habari nazifwatilia kwa ukaribu
 
Ni aibu sana kwa wote waliotaka kuikwamisha operesheni ya kuwadaka maharamia wa meno ya tembo....

Binafsi napendekeza hii wizara wawape watu wa maliasili wenyewe,watafute mhifadhi mmoja ambaye ni mwaminifu apewe hii wizara,mambo ya ujangili yataisha endapo wakiwezeshwa.
Mfano mmoja kuna mhifadhi alikuwa ANAPA akahamishwa kwenda TARANGIRE baadae KINAPA,akiwa TARANGIRE alifanya mambo makubwa sana hadi kuchukua chuma na kuingia doria mwenyewe na majangiri akayakamata.
Huyu ni mfano mmoja wapo na huwa hana mzaa.
 
Magu hayuko makini katika uteuzi wake na haya ndio matokeo yake.

Historia ya Maghembe alikuwa haijui?Huyu si alikuwa mmoja wa mawaziri mizigo enzi za Kikwete?Haya alikuwa hayajui wakati anampa uwaziri?

Magu nae ni tatizo tena kubwa tu

Tatizo asingemteua. Mungesema kanda ya kaskazini ameisusa. Huyo ndiye alionekana anauafadhari. Waliobaki makanjanja chagadema fullstop
 
Huyo mtu kafukuzwa lini? Unaonekana mbulumundu kukimbilia kuandika usichokijua.... huyo amesimamishwa kazi.....

Naona safari hii ampe Leonidas Gama au siyo?
Hivi n8 kwamba kwa vile tu upo chadema ama nini?
 
Tatizo asingemteua. Mungesema kanda ya kaskazini ameisusa. Huyo ndiye alionekana anauafadhari. Waliobaki makanjanja chagadema fullstop
Sio kweli kaskazini hakukuwa namna ya kumkwepa kwa kuwa CCM alibaki yeye tu majimbo mengne yakienda upinzani,kingne naona mkulu alikuwa anabalance angalau dini kulikuwa hakuna namna ya kumkwepa. Unapozungumzia kaskazini hasa kisiasa sanasana tunaongelea Arusha, Kilinjaro na Manyara.
 
Back
Top Bottom