CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Amesema chama chao katika uchaguzi wa 2020 kinakuja na agenda ya “Furaha kwa Watanzania inawezekana”
Pia Professa Lipumba amewaomba CCM kuwa na siasa za ustaarabu kitapoanza kipindi cha kampeni akisisitiza kupambana kwa hoja
Ameyasema hayo Leo Mwenyekiti wa CUF Prof. Lipumba.
#2020CUFMwakaWetu.