CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Uvunjifu na ukiukwaji wa Haki za binadamu ni tatizo kubwa nchini Tanzania.
Hakuna chombo huru chenye nguvu cha kusimamia haki za binadamu. Tume ya haki za binadamu haina nguvu za kuweza kupambana na wavunjaji wa haki za binadamu. Wengi wa hawa ni watendaji wakuu wa Serikali ambaowanalindwa na mfumo uliopo.
Mkinichagua kuwa Rais wa nchi hii nitasimamia ipasavyo haki za Binadamu.