Huyu ni mjinga na ni miongoni mwa wale wasiojua wanachokitaka katika siasa. Bali ameamua kuwa na mapenzi au chuki na mtu bila kujali anasema/anafanya nini na kwa mantiki gani.Lakini ana hoja bwashee!
Huyu ni mjinga na ni miongoni mwa wale wasiojua wanachokitaka katika siasa. Bali ameamua kuwa na mapenzi au chuki na mtu bila kujali anasema/anafanya nini na kwa mantiki gani.Lakini ana hoja bwashee!
johnthebaptist,
Wape wape eeh vidonge vyao, wakimeza wakitema shauri lao.
Ngoja nikae na tishu karibu maana sasa nasubiri povu la Wachagaa kwenye huu uzi.
Kwi kwi kwi kwi teh teh teh...