CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
RAIS MAGUFULI NI MGOMBEA URAIS KAMA MIMI NA ANASIMAMA SEHEMU YOYOTE ANASALIMIA NA HAZUIWI LAKINI MIMI MNATAKA KUNIZUIA NISISALIMIE WANANCHI WA DIDIA"PROF. LIPUMBA"
KATA YA DIDIA, SHINYANGA VIJIJINI
NITAWEKEZA KWA WATU, KISHA WATU WAWEKEZE KWENYE VITU"PROF. LIPUMBA"
DIDIA, SHINYANGA VIJIJINI
Tutahakikisha haki sawa na furaha kwa wote!
Haki ya Elimu kwa kila Mtanzania!
Haki ya Lishe Bora na uhakika kwa kila Mtanzania!
Haki ya Afya Bora na ya uhakika kwa kila Mtanzania!
Haki ya kuwa na ajira Bora, yenye ujira bora na ya uhakika kwa kila Mtanzania!
Haki ya kuwa tajiri kwa mapato halali kwa kila Mtanzania!
KATA YA DIDIA, SHINYANGA VIJIJINI
NITAWEKEZA KWA WATU, KISHA WATU WAWEKEZE KWENYE VITU"PROF. LIPUMBA"
DIDIA, SHINYANGA VIJIJINI
Tutahakikisha haki sawa na furaha kwa wote!
Haki ya Elimu kwa kila Mtanzania!
Haki ya Lishe Bora na uhakika kwa kila Mtanzania!
Haki ya Afya Bora na ya uhakika kwa kila Mtanzania!
Haki ya kuwa na ajira Bora, yenye ujira bora na ya uhakika kwa kila Mtanzania!
Haki ya kuwa tajiri kwa mapato halali kwa kila Mtanzania!