mshumbue-soi
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 1,842
- 1,147
Wanajamvi
Sio viongozi wa dini, viongozi wa Serikali akiwemo hata Mhe Rais, Jaji Mkuu Mstaafu na Mhe Spika, Mawaziri Wakuu Wastaafu, Mawaziri na Wabunge na Wananchi wa Kawaida
Kitendo alichofanyiwa Mhe Tundu Lissu
Licha ya kumtakia pole na Afya njema wametoa kauli huu sio Utanzania sio jambo jema wakilikemea na kutoa maelekezo vyombo husika vichukue hatua na kuiasa Jamii yote tusikubaliane na Jambo hili.
Swali wenzetu hawa ambao kauli zao kuhusiana na matukio mbali mbali wamekuwa wakitoa ya moyoni kwa ajili ya Taifa na walioathirika pole mbona wamekuwa wakimya sana.
Hatujasikia hekima na busara zao na kuungana na wote wanaomtakia Mhe Tundu Lissu Afya njema.
Ukikumbuka Mhe Tundu Lissu amefanya nao kazi kuhusu haki na democrasia tunajiluliza kulikoni kimya chao dhidi ya Askari mwenzao kwa madhila yaliyomfika mwenzao???
Sio viongozi wa dini, viongozi wa Serikali akiwemo hata Mhe Rais, Jaji Mkuu Mstaafu na Mhe Spika, Mawaziri Wakuu Wastaafu, Mawaziri na Wabunge na Wananchi wa Kawaida
Kitendo alichofanyiwa Mhe Tundu Lissu
Licha ya kumtakia pole na Afya njema wametoa kauli huu sio Utanzania sio jambo jema wakilikemea na kutoa maelekezo vyombo husika vichukue hatua na kuiasa Jamii yote tusikubaliane na Jambo hili.
Swali wenzetu hawa ambao kauli zao kuhusiana na matukio mbali mbali wamekuwa wakitoa ya moyoni kwa ajili ya Taifa na walioathirika pole mbona wamekuwa wakimya sana.
Hatujasikia hekima na busara zao na kuungana na wote wanaomtakia Mhe Tundu Lissu Afya njema.
Ukikumbuka Mhe Tundu Lissu amefanya nao kazi kuhusu haki na democrasia tunajiluliza kulikoni kimya chao dhidi ya Askari mwenzao kwa madhila yaliyomfika mwenzao???