Mmefulia CUF. Lipumba mwenyewe hata hapa kwao ILOLANGULU mkoani Tabora hamuelewi elewi! Pia CUF imetiwa kwapani na Chama Cha Majambazi (CCM). Aibu yenu!
CUF ni wabunifu sana!!
Hii picha inanikumbusha machungu ambayo hayatasahaulika mioyoni mwa wanaCUF siku zote hasa Julius Mtatiro, kwani toka CUF imeanzishwa uchaguzi wa Igunga ndio uliowafanya watumie kila aina ya mbinu na juhidi, tulishuhudia kampeni za kutembea kwa miguu,baiskeli,pikipiki,magari,helcopter hadi punda lakini wapi, mtaji wa kura 10000 ukashuka mpaka kura 2000.
Naamini CUF hawatajaribu tena kusimamisha mgombea ubunge Igunga kama uchaguzi utaitishwa siku za karibuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.