CUF Ngangari
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 273
- 51
siku ya ijumapili tarehe 9/9 Prof lipumba atazindua operation mchakamchaka katika viwanja vya jangwani kuanzia saa 4 asubuhi, ambapo viongozi wote wa chama na serikali wa chama cha cuf watakuwepo kabla ya kuelekea mkoani Arusha. wa mikoani. TBC LIVE.