Mwenyekiti wa cuf ambaye ni mwenyekiti wa jopo la wanauchumi duniani atawahutubia wanainchi na wakazi wa Dar es salaam siku ya jumatano tar 21.3.2012
Kwa sabau CUF ina ndoa na CCM, si bora akamsaidie Mkapa kule Arumeru?
hivi kwa nini Lipumba sijawahi kumsikia kuwa ataenda kuhutubia Arusha,.Moshi ama MbeyaMwenyekiti wa cuf ambaye ni mwenyekiti wa jopo la wanauchumi duniani atawahutubia wanainchi na wakazi wa Dar es salaam siku ya jumatano tar 21.3.2012
Mwenyekiti wa cuf ambaye ni mwenyekiti wa jopo la wanauchumi duniani atawahutubia wanainchi na wakazi wa Dar es salaam siku ya jumatano tar 21.3.2012
Hivi huu ujinga mwingine utawaisha lini? ni nani aliyekudanganya kwamba dunia hii kuna cheo cha mwenyekiti wa jopo la wanauchumi? unaweza kusapoti hoja yako?Mwenyekiti wa cuf ambaye ni mwenyekiti wa jopo la wanauchumi duniani atawahutubia wanainchi na wakazi wa Dar es salaam siku ya jumatano tar 21.3.2012
Ndio sehemu ambayo wanaishi kwa wingi, wamatumbi na wandengereko pamoja na wafuasi wengi wa ile deen!Ujinga huu wa kuhutubia Temeke kila siku sijui utaisha lini
Mwenyekiti wa cuf ambaye ni mwenyekiti wa jopo la wanauchumi duniani atawahutubia wanainchi na wakazi wa Dar es salaam siku ya jumatano tar 21.3.2012
mwombeni siku moja aje kuhutubia kaweUjinga huu wa kuhutubia Temeke kila siku sijui utaisha lini
Hivi huu ujinga mwingine utawaisha lini? ni nani aliyekudanganya kwamba dunia hii kuna cheo cha mwenyekiti wa jopo la wanauchumi? unaweza kusapoti hoja yako?
Safari yake nchini Marekani
Akizungumzia safari yake ya Washington nchini Marekani, ambayo alikaa huko kwa takriban miezi mitano, alikokwenda kwa ajili ya kufanya utafiti kuhusu demokrasia na maendeleo, utafiti ambao ulilenga kuleta demokrasia itakayoleta maendeleo na ajira katika nchi za Afrika, alisema katika utafiti alipata nafasi ya kutoa mjadala kuhusu miaka 50 ya Uhuru Tanzania na hatua ya maendeleo ambayo nchi imeifikia.
Hiyo ni mpya waliyokuja nayo, zamani walikuwa wanasema Elimu aliyo nayo Lipumba duniani wapo 3 tu! u can imagine Profesa mzima na yeye anajisikia raha kuongoza kundi la mazuzu, hivi huyu angekuwa Rais si hata shule asingetaka zijengwe ili watu wazidi kuwa wajinga?Hawatakuelewa hao mkuu.. Wameshaamini hivyo labda Maalim awaambie siyo.. Mwenyekiti wa Jopo la wachumi Duniani.. Ina maana Wachumi toka America.. China.. Brazil.. Europe na Asia Prof. ndo Mwenyekiti wao.. Duh..
mwombeni siku moja aje kuhutubia kawe