Uchaguzi 2020 Prof. Lipumba kufunga kampeni Oktoba 27 Dar, viwanja vya Mwembe Yanga

CUF Habari

JF-Expert Member
Dec 12, 2019
239
234
FB_IMG_1602788613786.jpg


PROF. LIPUMBA KUFUNGA KAMPENI OKTOBA 27 DAR, VIWANJA VYA MWEMBE YANGA

Mgombea Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CUF, Prof. Ibrahim Haruna Lipumba anatarajia kufunga rasmi kampeni jijini Dar es Salaam viwanja vya Mwembe Yanga vilivyopo wilaya ya Temeke.
 
View attachment 1611143

PROF. LIPUMBA KUFUNGA KAMPENI OKTOBA 27 DAR, VIWANJA VYA MWEMBE YANGA

Mgombea Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CUF, Prof. Ibrahim Haruna Lipumba anatarajia kufunga rasmi kampeni jijini Dar es Salaam viwanja vya Mwembe Yanga vilivyopo wilaya ya Temeke.
Hivyo bado anapigania roho yake kwenye kinyang'anyiro cha urais? Anapoteza muda. Hata akiachwa peke yake hawezi kushinda. Watu watapigia kivuli badala ya Propumba.
 
Hata Lipumba kumbe bado ana nyomi la kufa mtu!

1.John Magufuli
2.Tundu Lissu
3.Prof Ibrahim Lipumba
4.Benard Membe
5.Hashim Rungwe Spunda
 
Najaribu kujiuliza, nimetoka na gari yangu nyumbani kwenda sokoni kisha baada ya kuteremka nagundua kuwa kumbe Niko uchi na narudi kwenye gari milango imeji lock kwa ndani haifunguki!
Ndio taharuki anayojisikia sasa hivi Profesa wetu, hata hivyo namsifu kwa ujasiri wa kuhimili machungu hayo
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Upinzani ulikua dhaifu mwaka 2000 na 2005 kuliko wakati wowote ule!! Maana CCM ilishinda kwa landslide. Ila chaguzi zingine zote upinzani umekua imera zaidi na unaweza ona kila chaguzi iliyopita kura za upinzani ziliongezeka.

Msitake kujenga mazingira ya kuiba hapa kma mnajiamini Acheni ujanja ujanja na mruhusu kura ziamue mshindi
 
Mleta post hata ungekaa kimya bila kuleta uzi,ingekusaodia sana,
Vipi wenzenu watawasaisia kujaza watu?
 
Hivyo bado anapigania roho yake kwenye kinyang'anyiro cha urais? Anapoteza muda. Hata akiachwa peke yake hawezi kushinda. Watu watapigia kivuli badala ya Propumba.
Lipumba mshipa wa aibu ulishakatika...
 
Hata Lipumba kumbe bado ana nyomi la kufa mtu!

1.John Magufuli
2.Tundu Lissu
3.Prof Ibrahim Lipumba
4.Benard Membe
5.Hashim Rungwe Spunda
1. Diamond, Magufuli, Ally Kiba, nk

2. Tundu Lissu

3. Rungwe
 
Back
Top Bottom