Bacary Superior
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 3,722
- 1,511
kutoka kwake ni majanga Cuf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pasco,kuolewa na mke mwingine ni uenyekiti kuchukuliwa na mtu mwingineUongozi wa Chama ni kama ndoa ya Kiislam, ukiamua kuacha uongozi ni kama kuacha mke kwa talaka moja, siku ukijisikia utakuwa uko huru kumrejelea bila kipingamizi chochote, hivyo Lipumba alitoa talaka moja tuu, yuko huru kumrejelea mkewe uongozi wa CUF! .
Na hata ukiacha mke kwa talaka tatu bado pia unaweza kumrejelea kwa sharti kwamba kwanza aolewe na mtu mwingine, aachike ndipo na wewe umuoe tena! .
Kama talaka ya Lipumba ni talaka tatu, then ajiunge Chadema, ajitoe, arejee CUF.
Kwa bahati nzuri sana, Lipumba hana shughuli nyingine yoyote ya kufanya zaidi ya uongozi wa CUF, ila pia CUF, haina mtu mwingine yoyote ,mwenye long experience ya uzoefu wa muda mrefu wa uenyekiti wa CUF, kiasi kwamba yeye na Maalim ndio wagombea pekee wa kudumu wa urais kwa CUF kwenye Chaguzi zote ilipokuja uchaguzi wa 2015 CUF ilimuunga mkono mgombea wa UKAWA, Lipumba akaamua kususa na kutoa talaka! .
CUF mrudishieni Lipumba mkewe Uenyekiti wa CUF! .
Pasco
Seriously ......... !!anasema eti kuna jamaa hata yeye mwenyewe hamjui alimtumia SMS akamwambie arudi.
Kazi kubwa ya shetani ni kuharibu sio kutengenezaumeniweka njia panda
shida kwelAmeamua kumtumikia shetani
We ulipokua na uamuzi wa kujiuzulu si uliitwa na Wazee pamoja na viongozi wa dini kukuomba na kukulilia ubadili uamuzi wako ukakataa kata kata? Bado ukaombwa na viongozi wenzio ndani ya Chama ukakataa kata kata? Umesahau nini CUF kwa sasa?