PROF LIPUMBA: Hazina pekee yenye nguvu kubwa ya ushawishi iliyobaki upinzani 2020

Tunkamanin

JF-Expert Member
Feb 27, 2015
951
865
Kwanza kabisa jamaa hana siasa za propaganda ni mpambanaji kweli tangu ameanza siasa zake utamuona front line. Pili sio mwanasiasa wa kupinga kila kitu,ukiangalia comment zake nyingi kwa serikali ni kupinga panapostahiki na kupngeza au kuunga mkono panapostahiki.

Tatu jamaa ni msomi aliyebobea kipaji maalum IQ yake iko kuleee ndio maana maamuzianayoyafanya leo wewe utakuja kuyaelewa miaka 3-5 mbele. Nne jamaa anajua anachokifanya na mpaka atakwenda kaburini bado atabaki kuwa ni alama ya upinzani wa kweli Tanzania,hana kiburi hana ghilba,wivu, umimi, kujitia ukuu, ukubwa ,ubwanyenye,umwinyi bali yeye ni mtu wa watu.

Mtu anaeamini kwamba chama sio mali ya mtu na hata wanachama wa chama chake na viongozi wenzake wamekua wakiyasema waziwazi bla ya yeye kukasirika. lakini kwa upande mwingine washindani wake wanatumia sana uongo,ghilba, chuki, kuchafuana, propaganda nyingi sana mitandaoni kumchafua na kuzima image yake.

wamepata kundi fulani kwa kazi yao hiyo, hasa kwa hawa vijana wa siku hizi ambao kwao siasa ni matusi, uongo, propaganda za kuchafuana, na kupinga kila kitu.

Kizazi cha watanzania wa sasa, wazee wa nyuma ya keyboard. wao ndio waliomleta lowasa, na wakamsafisha na akawapiga chini laiti kama wangekuwa na akili basi wangemwendea prof na kumwomba radhi, ya kwamba ebwana eeh MTU MZITO, ULIKUWA SAHIHI KIPINDI KILE KUMKATAA YULE BWANA. Tusameheane tukae pamoja tujenge chama, lakini badala yake bado wanaendelea kumpaka matope profesa wa watu,kana kwamba wao walikua sahihi kumleta lowasa na hakijawatokea kitu. Mwisho wa yote nimefurahi kuona CUF inainuka wajumbe wa kila mikoa wamefika na inaonesha kabisa somo LIMEELEWEKA. PAMOJA NA PROF. LIPUMBA 2020
 
Kwanza kabisa jamaa hana siasa za propaganda ni mpambanaji kweli tangu ameanza siasa zake utamuona front line. Pili sio mwanasiasa wa kupinga kila kitu,ukiangalia comment zake nyingi kwa serikali ni kupinga panapostahiki na kupngeza au kuunga mkono panapostahiki.

Tatu jamaa ni msomi aliyebobea kipaji maalum IQ yake iko kuleee ndio maana maamuzianayoyafanya leo wewe utakuja kuyaelewa miaka 3-5 mbele. Nne jamaa anajua anachokifanya na mpaka atakwenda kaburini bado atabaki kuwa ni alama ya upinzani wa kweli Tanzania,hana kiburi hana ghilba,wivu, umimi, kujitia ukuu, ukubwa ,ubwanyenye,umwinyi bali yeye ni mtu wa watu.

Mtu anaeamini kwamba chama sio mali ya mtu na hata wanachama wa chama chake na viongozi wenzake wamekua wakiyasema waziwazi bla ya yeye kukasirika. lakini kwa upande mwingine washindani wake wanatumia sana uongo,ghilba, chuki, kuchafuana, propaganda nyingi sana mitandaoni kumchafua na kuzima image yake.

wamepata kundi fulani kwa kazi yao hiyo, hasa kwa hawa vijana wa siku hizi ambao kwao siasa ni matusi, uongo, propaganda za kuchafuana, na kupinga kila kitu.

Kizazi cha watanzania wa sasa, wazee wa nyuma ya keyboard. wao ndio waliomleta lowasa, na wakamsafisha na akawapiga chini laiti kama wangekuwa na akili basi wangemwendea prof na kumwomba radhi, ya kwamba ebwana eeh MTU MZITO, ULIKUWA SAHIHI KIPINDI KILE KUMKATAA YULE BWANA. Tusameheane tukae pamoja tujenge chama, lakini badala yake bado wanaendelea kumpaka matope profesa wa watu,kana kwamba wao walikua sahihi kumleta lowasa na hakijawatokea kitu. Mwisho wa yote nimefurahi kuona CUF inainuka wajumbe wa kila mikoa wamefika na inaonesha kabisa somo LIMEELEWEKA. PAMOJA NA PROF. LIPUMBA 2020
He he he he he heeeeee kwaaaa hh kwaaaaaaah kwaaaaah mbavu zangu
 
Mtoa mada nadhani ata yeye anajua kabisa tangu huyo PUMBA alipoanzisha tabia za lumumba amekua sio kitu tena kwenye siasa za tz ila njaa tu ndio imemfanya ajaze server kwa uduvi huu
Ana nguvu ya kumshawishi nani?

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Kwanza kabisa jamaa hana siasa za propaganda ni mpambanaji kweli tangu ameanza siasa zake utamuona front line. Pili sio mwanasiasa wa kupinga kila kitu,ukiangalia comment zake nyingi kwa serikali ni kupinga panapostahiki na kupngeza au kuunga mkono panapostahiki.

Tatu jamaa ni msomi aliyebobea kipaji maalum IQ yake iko kuleee ndio maana maamuzianayoyafanya leo wewe utakuja kuyaelewa miaka 3-5 mbele. Nne jamaa anajua anachokifanya na mpaka atakwenda kaburini bado atabaki kuwa ni alama ya upinzani wa kweli Tanzania,hana kiburi hana ghilba,wivu, umimi, kujitia ukuu, ukubwa ,ubwanyenye,umwinyi bali yeye ni mtu wa watu.

Mtu anaeamini kwamba chama sio mali ya mtu na hata wanachama wa chama chake na viongozi wenzake wamekua wakiyasema waziwazi bla ya yeye kukasirika. lakini kwa upande mwingine washindani wake wanatumia sana uongo,ghilba, chuki, kuchafuana, propaganda nyingi sana mitandaoni kumchafua na kuzima image yake.

wamepata kundi fulani kwa kazi yao hiyo, hasa kwa hawa vijana wa siku hizi ambao kwao siasa ni matusi, uongo, propaganda za kuchafuana, na kupinga kila kitu.

Kizazi cha watanzania wa sasa, wazee wa nyuma ya keyboard. wao ndio waliomleta lowasa, na wakamsafisha na akawapiga chini laiti kama wangekuwa na akili basi wangemwendea prof na kumwomba radhi, ya kwamba ebwana eeh MTU MZITO, ULIKUWA SAHIHI KIPINDI KILE KUMKATAA YULE BWANA. Tusameheane tukae pamoja tujenge chama, lakini badala yake bado wanaendelea kumpaka matope profesa wa watu,kana kwamba wao walikua sahihi kumleta lowasa na hakijawatokea kitu. Mwisho wa yote nimefurahi kuona CUF inainuka wajumbe wa kila mikoa wamefika na inaonesha kabisa somo LIMEELEWEKA. PAMOJA NA PROF. LIPUMBA 2020
Takataka
 
CCM bana,wanaanza kumpigia debe KIBARAKA wao,inamaana huyu ana beberu wake ambae ni CCM
 
Kwanza kabisa jamaa hana siasa za propaganda ni mpambanaji kweli tangu ameanza siasa zake utamuona front line. Pili sio mwanasiasa wa kupinga kila kitu,ukiangalia comment zake nyingi kwa serikali ni kupinga panapostahiki na kupngeza au kuunga mkono panapostahiki.

Tatu jamaa ni msomi aliyebobea kipaji maalum IQ yake iko kuleee ndio maana maamuzianayoyafanya leo wewe utakuja kuyaelewa miaka 3-5 mbele. Nne jamaa anajua anachokifanya na mpaka atakwenda kaburini bado atabaki kuwa ni alama ya upinzani wa kweli Tanzania,hana kiburi hana ghilba,wivu, umimi, kujitia ukuu, ukubwa ,ubwanyenye,umwinyi bali yeye ni mtu wa watu.

Mtu anaeamini kwamba chama sio mali ya mtu na hata wanachama wa chama chake na viongozi wenzake wamekua wakiyasema waziwazi bla ya yeye kukasirika. lakini kwa upande mwingine washindani wake wanatumia sana uongo,ghilba, chuki, kuchafuana, propaganda nyingi sana mitandaoni kumchafua na kuzima image yake.

wamepata kundi fulani kwa kazi yao hiyo, hasa kwa hawa vijana wa siku hizi ambao kwao siasa ni matusi, uongo, propaganda za kuchafuana, na kupinga kila kitu.

Kizazi cha watanzania wa sasa, wazee wa nyuma ya keyboard. wao ndio waliomleta lowasa, na wakamsafisha na akawapiga chini laiti kama wangekuwa na akili basi wangemwendea prof na kumwomba radhi, ya kwamba ebwana eeh MTU MZITO, ULIKUWA SAHIHI KIPINDI KILE KUMKATAA YULE BWANA. Tusameheane tukae pamoja tujenge chama, lakini badala yake bado wanaendelea kumpaka matope profesa wa watu,kana kwamba wao walikua sahihi kumleta lowasa na hakijawatokea kitu. Mwisho wa yote nimefurahi kuona CUF inainuka wajumbe wa kila mikoa wamefika na inaonesha kabisa somo LIMEELEWEKA. PAMOJA NA PROF. LIPUMBA 2020
Moja ya vivutio vya utalii Tz ni huyo le profeser. Zekomed walitabiri mengi.

Ishi halisi
 
Jamaa alianza vibaya siasa na doa aliloliweka halijawahi kufutika ama watu wa imani tofauti naye kumwelewa nadhani hawatamwelewa, wakati wanaanza siasa alikuwa na wafuasi wengi sana wa kiimani na niliwahi kuhudhuria mkutano wake mmoja enzi hizo za " ngangari kinoma" nilishindwa kutofautisha na kongamano la kidini kwani hata akiongea pointi kuna maneno mashabiki wake walikuwa wanayatamka yenye asili ya middle east ambayo maneno hayo husemwa kwenye kongamano la kiimani pale mtoa mada anapoongea pointi kukonga nyoyo za wasikilizaji.
 
Kwanza kabisa jamaa hana siasa za propaganda ni mpambanaji kweli tangu ameanza siasa zake utamuona front line. Pili sio mwanasiasa wa kupinga kila kitu,ukiangalia comment zake nyingi kwa serikali ni kupinga panapostahiki na kupngeza au kuunga mkono panapostahiki.

Tatu jamaa ni msomi aliyebobea kipaji maalum IQ yake iko kuleee ndio maana maamuzianayoyafanya leo wewe utakuja kuyaelewa miaka 3-5 mbele. Nne jamaa anajua anachokifanya na mpaka atakwenda kaburini bado atabaki kuwa ni alama ya upinzani wa kweli Tanzania,hana kiburi hana ghilba,wivu, umimi, kujitia ukuu, ukubwa ,ubwanyenye,umwinyi bali yeye ni mtu wa watu.

Mtu anaeamini kwamba chama sio mali ya mtu na hata wanachama wa chama chake na viongozi wenzake wamekua wakiyasema waziwazi bla ya yeye kukasirika. lakini kwa upande mwingine washindani wake wanatumia sana uongo,ghilba, chuki, kuchafuana, propaganda nyingi sana mitandaoni kumchafua na kuzima image yake.

wamepata kundi fulani kwa kazi yao hiyo, hasa kwa hawa vijana wa siku hizi ambao kwao siasa ni matusi, uongo, propaganda za kuchafuana, na kupinga kila kitu.

Kizazi cha watanzania wa sasa, wazee wa nyuma ya keyboard. wao ndio waliomleta lowasa, na wakamsafisha na akawapiga chini laiti kama wangekuwa na akili basi wangemwendea prof na kumwomba radhi, ya kwamba ebwana eeh MTU MZITO, ULIKUWA SAHIHI KIPINDI KILE KUMKATAA YULE BWANA. Tusameheane tukae pamoja tujenge chama, lakini badala yake bado wanaendelea kumpaka matope profesa wa watu,kana kwamba wao walikua sahihi kumleta lowasa na hakijawatokea kitu. Mwisho wa yote nimefurahi kuona CUF inainuka wajumbe wa kila mikoa wamefika na inaonesha kabisa somo LIMEELEWEKA. PAMOJA NA PROF. LIPUMBA 2020

Kamwmbie huyo "lipumbavu" kuwa hiyo kazi aliyokutuma kuifanya imeshindikana hata kabla hujaianza.
 
Ana nguvu ya kumshawishi nani?
Watanzania wanyonge wanaostahili kutetewa na sikutapeliwa kama alivyofanya mbowe na genge lake. mboweamefilisi akili za watu, muda, na mpaka maisha ya watu halafu leo jamaa anasema zile Mil 6 mumpe baba JJ, kweli wajinga ndio waliwao. karibu kaika chama chenye dira na muelekeo. prof lipumba ndani ya CUF mpya na yenye matumani.
 
Kamwmbie huyo "lipumbavu" kuwa hiyo kazi aliyokutuma kuifanya imeshindikana hata kabla hujaianza.
Lipumba anawataka watu kama nyinyi ambao mmefilisiwa na mbowe na mwenzie maalim kipenzi ch wazanzibar lkn mpofu wa kukubali kushindwa na kurudi nyuma
 
Back
Top Bottom