Prof. Lipumba: Haingii akilini gaidi na mhaini akapelekewa salamu za rambirambi tarehe 8 Julai 2021 na Rais ambaye ana taarifa zote za usalama wa nchi



Prof. Ibrahim Haruna Lipumba asema Haingii akilini gaidi na mhaini akapelekewa salamu za rambirambi tarehe 8 Julai 2021 na Rais ambaye ni amiri jeshi Mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama, halafu tarehe 23 Julai 2021 Freeman Mbowe akakamatwe kwa ugaidi wa mwaka 2020.

Maana rais kila siku hupewa taarifa za usalama za nchi nzima, iweje tarehe 8 Julai 2021 Freeman Mbowe apelekewe salamu za pole za rambirambi za msiba wa kaka yake. Ina maana rais alikuwa hana taarifa za ugaidi wa Freeman Mbowe mpaka tarehe 21 Julai 2021 siku ya kongamano la CHADEMA juu ya katiba ya nchi, anahoji Prof. Haruna Lipumba.

Prof. Ibrahim Haruna Lipumba anakwenda mbali na kuhoji kuwa haiwezekani vyombo vya ulinzi na usalama kutomfahamisha Rais juu ya mipango ya kuwakamata watuhumiwa wa mipango ya ugaidi wa kulipua sehemu mbalimbali, njama za kuua viongozi na kufanya uhaini za mtuhumiwa Freeman Mbowe kiasi rais atatuma pole kwa mtu Mwenye kutuhumiwa nzito ambaye yupo mbioni kutiwa mbaroni na kufunguliwa mashtaka mazito ya ugaidi na uhaini.
Mnyonge anyongewe mbali ila haki yake apewe pamoja na unafiki wa Profesa hapa kasema kweli
 


Prof. Ibrahim Haruna Lipumba asema Haingii akilini gaidi na mhaini akapelekewa salamu za rambirambi tarehe 8 Julai 2021 na Rais ambaye ni amiri jeshi Mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama, halafu tarehe 23 Julai 2021 Freeman Mbowe akakamatwe kwa ugaidi wa mwaka 2020.

Maana rais kila siku hupewa taarifa za usalama za nchi nzima, iweje tarehe 8 Julai 2021 Freeman Mbowe apelekewe salamu za pole za rambirambi za msiba wa kaka yake. Ina maana rais alikuwa hana taarifa za ugaidi wa Freeman Mbowe mpaka tarehe 21 Julai 2021 siku ya kongamano la CHADEMA juu ya katiba ya nchi, anahoji Prof. Haruna Lipumba.

Prof. Ibrahim Haruna Lipumba anakwenda mbali na kuhoji kuwa haiwezekani vyombo vya ulinzi na usalama kutomfahamisha Rais juu ya mipango ya kuwakamata watuhumiwa wa mipango ya ugaidi wa kulipua sehemu mbalimbali, njama za kuua viongozi na kufanya uhaini za mtuhumiwa Freeman Mbowe kiasi rais atatuma pole kwa mtu Mwenye kutuhumiwa nzito ambaye yupo mbioni kutiwa mbaroni na kufunguliwa mashtaka mazito ya ugaidi na uhaini.

hiyo ndio Tanzania.
wakati Pinda ni waziri mkuu aliulizwa kuhusu mashkhe wa uamsho na akjibu hana habari.
Sasa nimshangao ikiwa watu wanashtakiwa kwa ugaidi na waziri mkuu hana habari.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Inawezekana polisi walidhani kwamba kwakua dunia inapinga ugaidi basi tuhalalishe kum-bunia mbowe

Kumbe wanajibunia kashifa zito sasa maofisini mwao jasho nijingi linatoka
 


Prof. Ibrahim Haruna Lipumba asema Haingii akilini gaidi na mhaini akapelekewa salamu za rambirambi tarehe 8 Julai 2021 na Rais ambaye ni amiri jeshi Mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama, halafu tarehe 23 Julai 2021 Freeman Mbowe akakamatwe kwa ugaidi wa mwaka 2020.

Maana rais kila siku hupewa taarifa za usalama za nchi nzima, iweje tarehe 8 Julai 2021 Freeman Mbowe apelekewe salamu za pole za rambirambi za msiba wa kaka yake. Ina maana rais alikuwa hana taarifa za ugaidi wa Freeman Mbowe mpaka tarehe 21 Julai 2021 siku ya kongamano la CHADEMA juu ya katiba ya nchi, anahoji Prof. Haruna Lipumba.

Prof. Ibrahim Haruna Lipumba anakwenda mbali na kuhoji kuwa haiwezekani vyombo vya ulinzi na usalama kutomfahamisha Rais juu ya mipango ya kuwakamata watuhumiwa wa mipango ya ugaidi wa kulipua sehemu mbalimbali, njama za kuua viongozi na kufanya uhaini za mtuhumiwa Freeman Mbowe kiasi rais atatuma pole kwa mtu Mwenye kutuhumiwa nzito ambaye yupo mbioni kutiwa mbaroni na kufunguliwa mashtaka mazito ya ugaidi na uhaini.
Lipumba bora ungenyamaza, unajiabisha kwa hii kauli yako.
 
Mama akitaka kafanikiwa atoe igp na Bo's wa tiss atafute was kwake aanze nao.
 
Back
Top Bottom