Prof. Lipumba: Haingii akilini gaidi na mhaini akapelekewa salamu za rambirambi tarehe 8 Julai 2021 na Rais ambaye ana taarifa zote za usalama wa nchi



Prof. Ibrahim Haruna Lipumba asema Haingii akilini gaidi na mhaini akapelekewa salamu za rambirambi tarehe 8 Julai 2021 na Rais ambaye ni amiri jeshi Mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama, halafu tarehe 23 Julai 2021 Freeman Mbowe akakamatwe kwa ugaidi wa mwaka 2020.

Maana rais kila siku hupewa taarifa za usalama za nchi nzima, iweje tarehe 8 Julai 2021 Freeman Mbowe apelekewe salamu za pole za rambirambi za msiba wa kaka yake. Ina maana rais alikuwa hana taarifa za ugaidi wa Freeman Mbowe mpaka tarehe 21 Julai 2021 siku ya kongamano la CHADEMA juu ya katiba ya nchi, anahoji Prof. Haruna Lipumba.

Prof. Ibrahim Haruna Lipumba anakwenda mbali na kuhoji kuwa haiwezekani vyombo vya ulinzi na usalama kutomfahamisha Rais juu ya mipango ya kuwakamata watuhumiwa wa mipango ya ugaidi wa kulipua sehemu mbalimbali, njama za kuua viongozi na kufanya uhaini za mtuhumiwa Freeman Mbowe kiasi rais atatuma pole kwa mtu Mwenye kutuhumiwa nzito ambaye yupo mbioni kutiwa mbaroni na kufunguliwa mashtaka mazito ya ugaidi na uhaini.
Mh Mbowe ni mhanga wa utawala usio fuata sheria. Kuna watu wanafaidika na mfumo huo, ndio watoa hoja ya katiba si lipa umbele cha wananchi. Katiba ni mkataba wa mtawala na mtawaliwa, lakini leo serikali imekuwa msemaji wa mwananchi kuhusu mahitaji ya katiba. Rasilimali za nchi zinatapanywa. Magufuli anatumbukiza hela kuhamia Dodoma, anakuja Samia anasema haiwezekani ikulu kuwa huko, mambo yote ni Dar.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kwani wenye tuhuma mbalimbali hawafiwi?Kumpa mtu pole haimaanishi hana tuhuma


Prof. Ibrahim Haruna Lipumba asema Haingii akilini gaidi na mhaini akapelekewa salamu za rambirambi tarehe 8 Julai 2021 na Rais ambaye ni amiri jeshi Mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama, halafu tarehe 23 Julai 2021 Freeman Mbowe akakamatwe kwa ugaidi wa mwaka 2020.

Maana rais kila siku hupewa taarifa za usalama za nchi nzima, iweje tarehe 8 Julai 2021 Freeman Mbowe apelekewe salamu za pole za rambirambi za msiba wa kaka yake. Ina maana rais alikuwa hana taarifa za ugaidi wa Freeman Mbowe mpaka tarehe 21 Julai 2021 siku ya kongamano la CHADEMA juu ya katiba ya nchi, anahoji Prof. Haruna Lipumba.

Prof. Ibrahim Haruna Lipumba anakwenda mbali na kuhoji kuwa haiwezekani vyombo vya ulinzi na usalama kutomfahamisha Rais juu ya mipango ya kuwakamata watuhumiwa wa mipango ya ugaidi wa kulipua sehemu mbalimbali, njama za kuua viongozi na kufanya uhaini za mtuhumiwa Freeman Mbowe kiasi rais atatuma pole kwa mtu Mwenye kutuhumiwa nzito ambaye yupo mbioni kutiwa mbaroni na kufunguliwa mashtaka mazito ya ugaidi na uhaini.
 
Ukweli ni kwamba mama anashurutishwa na jeshi kuua upinzani!!mama anashangaa tu mambo yanayofanyika!!!ETI MBOWE NA TUHUMA ZA UGAIDI ZA 2020 JE UNADHANI MWENDAZAKE ANGEMUACHA KWELI?IKIWA LEMA ALIPOTEZWA KWA MIEZI MINNE KWA KUOTA NDOTO??!!!!LIPUMBA KAPATIA!!!
 
Hapa kuna mawili.

1. Inawezekana kweli ananyimwa taarifa kama alivyonyimwa zile za kifo cha mwendazake then akapangiwa ziara ya Morogoro.

au

2. Rais nae anaujua ukweli, hii habari ya ugaidi wa Mbowe ni ya kutunga kwa lengo la kuyalinda maslahi ya CCM, ubaya wa hili ni kwamba siku wakishindwa kesi mahakamani Rais ataubeba mzigo wa aibu za kumuonea Mbowe,

Hili litazidi kuharibu mahusiano yake na Chadema na kuvuruga ile mipango ya Rais kuonana na wapinzani, hii inaweza kusababisha kuendelea hali ya kutoaminiana baina yao na mwishowe kuendeleza siasa za kuwindana kama tuzionazo sasa.
Hapa kuna mawili.

1. Inawezekana kweli ananyimwa taarifa kama alivyonyimwa zile za kifo cha mwendazake then akapangiwa ziara ya Morogoro.

au

2. Rais nae anaujua ukweli, hii habari ya ugaidi wa Mbowe ni ya kutunga kwa lengo la kuyalinda maslahi ya CCM, ubaya wa hili ni kwamba siku wakishindwa kesi mahakamani Rais ataubeba mzigo wa aibu za kumuonea Mbowe,

Hili litazidi kuharibu mahusiano yake na Chadema na kuvuruga ile mipango ya Rais kuonana na wapinzani, hii inaweza kusababisha kuendelea hali ya kutoaminiana baina yao na mwishowe kuendeleza siasa za kuwindana kama tuzionazo sasa.
Namba 2 hapo inawezekana pia alipewa taarifa ila alijiona na kuwaza kuwa yeye ni mwenyekiti wa CCM badala ya kulichukua kama Amiri Jeshi na Rais wa JMT.Akiruhusu uzito wa cheo cha Mwenyekiti wa chama cha magaidi ukawa zaidi ya Urais wa JMT,Rais SSH atapata wakati mgumu sana.
Salama ya Mh.Samia ni kuruhusu Mchakato wa Katiba ya JMT uanze haraka sana kuanzia pale alipoishia Mh.Jaji Warioba na Tume ya Mabadiliko ya Katiba aliyoiongoza.
Tunamkumbusha Mh.Rais"Watanzania siyo wajinga" na mwisho wa mtifuano huu Wananchi lazima wapate Katiba yao!
 


Prof. Ibrahim Haruna Lipumba asema Haingii akilini gaidi na mhaini akapelekewa salamu za rambirambi tarehe 8 Julai 2021 na Rais ambaye ni amiri jeshi Mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama, halafu tarehe 23 Julai 2021 Freeman Mbowe akakamatwe kwa ugaidi wa mwaka 2020.

Maana rais kila siku hupewa taarifa za usalama za nchi nzima, iweje tarehe 8 Julai 2021 Freeman Mbowe apelekewe salamu za pole za rambirambi za msiba wa kaka yake. Ina maana rais alikuwa hana taarifa za ugaidi wa Freeman Mbowe mpaka tarehe 21 Julai 2021 siku ya kongamano la CHADEMA juu ya katiba ya nchi, anahoji Prof. Haruna Lipumba.

Prof. Ibrahim Haruna Lipumba anakwenda mbali na kuhoji kuwa haiwezekani vyombo vya ulinzi na usalama kutomfahamisha Rais juu ya mipango ya kuwakamata watuhumiwa wa mipango ya ugaidi wa kulipua sehemu mbalimbali, njama za kuua viongozi na kufanya uhaini za mtuhumiwa Freeman Mbowe kiasi rais atatuma pole kwa mtu Mwenye kutuhumiwa nzito ambaye yupo mbioni kutiwa mbaroni na kufunguliwa mashtaka mazito ya ugaidi na uhaini.

Huyu anaemhoji Profesa anawaiga mno wenzake wa BBC na CNN. Ingekuwa vyema zaidi kama angepunguza kumkatishakatisha. Wengine tungependa kumsikia Profesa kuliko yeye.

Amandla...
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
7 August 2021

PROF: LIPUMBA AMZUNGUMZIA MBOWE KUHUSU SUALA LA UGAIDI.




Prof. Ibrahim Haruna Lipumba asema Haingii akilini gaidi na mhaini akapelekewa salamu za rambirambi tarehe 8 Julai 2021 na Rais ambaye ni amiri jeshi Mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama, halafu tarehe 23 Julai 2021 Freeman Mbowe akakamatwe kwa ugaidi wa mwaka 2020.

Maana rais kila siku hupewa taarifa za usalama za nchi nzima, iweje tarehe 8 Julai 2021 Freeman Mbowe apelekewe salamu za pole za rambirambi za msiba wa kaka yake. Ina maana rais alikuwa hana taarifa za ugaidi wa Freeman Mbowe mpaka tarehe 21 Julai 2021 siku ya kongamano la CHADEMA juu ya katiba ya nchi, anahoji Prof. Haruna Lipumba.

Prof. Ibrahim Haruna Lipumba anakwenda mbali na kuhoji kuwa haiwezekani vyombo vya ulinzi na usalama kutomfahamisha Rais juu ya mipango ya kuwakamata watuhumiwa wa mipango ya ugaidi wa kulipua sehemu mbalimbali, njama za kuua viongozi na kufanya uhaini za mtuhumiwa Freeman Mbowe kiasi rais atatuma pole kwa mtu Mwenye kutuhumiwa nzito ambaye yupo mbioni kutiwa mbaroni na kufunguliwa mashtaka mazito ya ugaidi na uhaini.


Source : StarTV Habari

Issue ya Mbowe ata kama hauna akili utajua tu ni kesi ya kubumba.

Alietunga hii kesi ya Mbowe ningekuwa Rais ningemfukuza kazi, amemdharirisha Rais kwa kutengeneza movie hafifu ambayo ata vipofu sasa wanaona.
 
Issue ya Mbowe ata kama hauna akili utajua tu ni kesi ya kubumba.

Alietunga hii kesi ya Mbowe ningekuwa Rais ningemfukuza kazi, amemdharirisha Rais kwa kutengeneza movie hafifu ambayo ata vipofu sasa wanaona.
Most likely ni Sirro,ulitegemea atengeneze movie yenye maana?
 
Usaliti wa Lipumba ni upi?
Umesahau mara hii......alijiuzulu akawakimbia wenzake akanunuliwa akarudishwa kwa nguvu za dola akaue CuF......ruzuku akalamba zote......malizia sasa leo anasema nini ? Nani ana trust ? Labda kina buku 7 nyie
 
Rais Samia anakoleza moto kuligawa Taifa...Mama utajengaje uchumi wa nchi wakati wana familia hawapo pamoja? Unazidi kuwagawa ...lazima utakwama tu.

Hata familia husonga mbele kimaendeleo kama baba, mama na watoto pamoja na dada wa kazi wote ni wamoja.
 


Prof. Ibrahim Haruna Lipumba asema Haingii akilini gaidi na mhaini akapelekewa salamu za rambirambi tarehe 8 Julai 2021 na Rais ambaye ni amiri jeshi Mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama, halafu tarehe 23 Julai 2021 Freeman Mbowe akakamatwe kwa ugaidi wa mwaka 2020.

Maana rais kila siku hupewa taarifa za usalama za nchi nzima, iweje tarehe 8 Julai 2021 Freeman Mbowe apelekewe salamu za pole za rambirambi za msiba wa kaka yake. Ina maana rais alikuwa hana taarifa za ugaidi wa Freeman Mbowe mpaka tarehe 21 Julai 2021 siku ya kongamano la CHADEMA juu ya katiba ya nchi, anahoji Prof. Haruna Lipumba.

Prof. Ibrahim Haruna Lipumba anakwenda mbali na kuhoji kuwa haiwezekani vyombo vya ulinzi na usalama kutomfahamisha Rais juu ya mipango ya kuwakamata watuhumiwa wa mipango ya ugaidi wa kulipua sehemu mbalimbali, njama za kuua viongozi na kufanya uhaini za mtuhumiwa Freeman Mbowe kiasi rais atatuma pole kwa mtu Mwenye kutuhumiwa nzito ambaye yupo mbioni kutiwa mbaroni na kufunguliwa mashtaka mazito ya ugaidi na uhaini.

Polisi ya Tanzania imekuwa hovyo kabisa Siro awajibishwe!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK


Prof. Ibrahim Haruna Lipumba asema Haingii akilini gaidi na mhaini akapelekewa salamu za rambirambi tarehe 8 Julai 2021 na Rais ambaye ni amiri jeshi Mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama, halafu tarehe 23 Julai 2021 Freeman Mbowe akakamatwe kwa ugaidi wa mwaka 2020.

Maana rais kila siku hupewa taarifa za usalama za nchi nzima, iweje tarehe 8 Julai 2021 Freeman Mbowe apelekewe salamu za pole za rambirambi za msiba wa kaka yake. Ina maana rais alikuwa hana taarifa za ugaidi wa Freeman Mbowe mpaka tarehe 21 Julai 2021 siku ya kongamano la CHADEMA juu ya katiba ya nchi, anahoji Prof. Haruna Lipumba.

Prof. Ibrahim Haruna Lipumba anakwenda mbali na kuhoji kuwa haiwezekani vyombo vya ulinzi na usalama kutomfahamisha Rais juu ya mipango ya kuwakamata watuhumiwa wa mipango ya ugaidi wa kulipua sehemu mbalimbali, njama za kuua viongozi na kufanya uhaini za mtuhumiwa Freeman Mbowe kiasi rais atatuma pole kwa mtu Mwenye kutuhumiwa nzito ambaye yupo mbioni kutiwa mbaroni na kufunguliwa mashtaka mazito ya ugaidi na uhaini.


Aliyesema:

".. but you can't fool all the people all the time."

Kwa hakika hakukosea.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Rais Samia anakoleza moto kuligawa Taifa...Mama utajengaje uchumi wa nchi wakati wana familia hawapo pamoja? Unazidi kuwagawa ...lazima utakwama tu.

Hata familia husonga mbele kimaendeleo kama baba, mama na watoto pamoja na dada wa kazi wote ni wamoja.

Mwache aendelee kulitafuta
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom