kaja
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 461
- 118
Una maana gani?
Akili zimeisha amebaki pumba tu
Una maana gani?
MABADILIKO YA KWELI UHURU WA KWELI.ACT unaitaja hapa! Chama ambacho mgombea urais hajafikisha kura 100,000! Hao waweke kwenye Kindi la TLP,NRA,UDP,ADC na CHAUMMA.Kwa hiyo ajenda yenu ni ipi?
CCM wanakemea ufisadi.....mmeporwa hoja yenu.
ACT- utu, miiko na uzalendo
CUF- haki sawa kwa wote....hapa haki tu.
Waliompokea Lowassa kama mwanachama ni CHADEMA.Mwambieni akiwa muongo asiwe msahaulifu. Clip za mapokezi ya Lowasa Ukawa zinaonyesha ushiriki wake ila lililomuuma ni kule kuenguliwa katika kazi yake ya kudumu ya " Mgombea Urais"
alishiriki kumpokea kwa kummwagia sifa kem kem,baada ya kulambishwa vipande thelathini kabadilika,sijui hawa wazee wanatudharau watanzania kwa kiasi gani!!yani anaona sisi mapopoma kuwa tumeshasahau...njaa mbaya!!!!!
mwache amlambe miguu jpm 2..amsifie saaana,lkn uongozi hapewi.zile hela zimeisha kwan??
generally speaking,nina uelewa mkubwa..una uelewa gani wewe?!!
Nadhani akinyamaza sisi wengine ambao tumeendelea kumuheshimu tutaendelea kufanya hivyo .Yeye na CUF ipi? Mtu muungwana huheshimu maamuzi ya kikatiba kupitia vyombo vya juu vya vyama vyetu vinapofanya maamuzi .
Umeandika vyema kabisa kuwa CHADEMA wameporwa hoja, na hilo linakubalika tu. Ingekuwa vibaya kama CHADEMA wangekuwa wameiacha hoja yao. Huwezi kuilaumu ACT iwapo UDP wataamua kubeba ajenda ya uzalendoKwa hiyo ajenda yenu ni ipi?
CCM wanakemea ufisadi.....mmeporwa hoja yenu.
.
Wakati mwingine hawa wazee wapime kama bado vichwa vyao vinafanya kazi sawa sawa. Mchakato wakumpokea lowasa waliufanya na yeye akiwepo na alimsifia sana sasa kipi tena kinamfanya ageuke na kuwa ndumilakuwili. Ni aibu sana kutumia mdomo wako kuongea huku ukitumia akili ya mtu mwingine
Hayo ni mawazo na mtazamo wake. Ninyi kila mtu akipinga mitazamo yenu mnamwita msaliti. Usaliti wake upi?Yuda huyu si wa kuchekea hata kidogo, anajipendekeza kwa viongozi wa CUF apewe ulaji! Tangu awe Mgombea CUF haijawahi kua na viti vingi kama mwaka huu. Huyu kupata uongozi labda Maalim Seif aondoke CUF, Katika watu waliomuudhi sana maalim Seif ni huyu msaliti.yaan wenzi wako katika kipindi kigumu wewe unawakimbia!