Junius
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 3,181
- 139
Mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF,Prof. Ibrahim Lipumba ameteuliuwa na Jumuiya ya Madola kushiriki katika timu ya waangalizi wa uchaguzi Mkuu wa nchini Msumbiji.
Akiongea na Idhaa ya Kiswahili ya BBC London, Prof.Lipumba amesema hiyo ni heshima kubwa kwake na anakwenda huko si kama Mw'kiti wa CUF bali mtu muhimu aliyeaminiwa kushiriki katika jopo hilo la waangalizi wa madola.
Katika jopo hilo la waangalizi wa uchaguzi, aliyekuwa rais wa Sierra Leon Bw.Tejan Kabba atakuwa Mw'kiti wake.
SOURCE:BBC SWAHILI SERVICE
Akiongea na Idhaa ya Kiswahili ya BBC London, Prof.Lipumba amesema hiyo ni heshima kubwa kwake na anakwenda huko si kama Mw'kiti wa CUF bali mtu muhimu aliyeaminiwa kushiriki katika jopo hilo la waangalizi wa madola.
Katika jopo hilo la waangalizi wa uchaguzi, aliyekuwa rais wa Sierra Leon Bw.Tejan Kabba atakuwa Mw'kiti wake.
SOURCE:BBC SWAHILI SERVICE