Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Hiki ni nini?
mzito kabwela heshma yako mkuu.Lipumba miaka michache iliyopita alisema akiwa msikitini kuwa Chadema kupitia Padri Slaa waliungana na makanisa ya Ulaya ili kuitawala Tanzania. Leo anampongeza Slaa eti hana shaka nae....Unafiq kwa kiwango cha hatari
Halima Mdee kwao ni Moshi, hata juzi alikuwa Moshi, Mnyika kwao sipajui.Mnyika na Halima Mdee walishawahi kukanyaga lini vijijini kwao?
Vigezo kuzingatiwaAlivyokuwa akimtambulisha kama mchumba huko Chadema kwa zaidi ya miaka mitano hakuwahaibisha?
Si anakula lakini?! Na watu wazima wanapokula hawaongeiChama anataka kunyang'anywa na mahakama.
Ok mkuuSi anakula lakini?! Na watu wazima wanapokula hawaongei
Keki yake imeshafika kikomo na viatu vimempwaya.Polopesa nae atapewa keki yake soon
Daud nadhani ye kalipwaa Ile ya WABUNGEKeki yake imeshafika kikomo na viatu vimempwaya.
AmeshamuoaHata mimi sina shaka nae
Ishu ni kwamba asije akaenda nchi ya watu akamtambulisha Josephina kama mchumba atatuaibisha