RIP CUF....RIP Mkigoma!aliyekuwa mgombea wa jimbo la tandahimba ambaye alidhulumiwa ushindi wake katani ahmedi katani kijana machachari leo amekabidhiwa majukumu ya kuiongoza jumuiya. uteuzi huo umefanyika baada ya kumalizika baraza kuu la uongozi Taifa.
Mtatiro naskia yupo kikaangoni ktk nafasi yake
Vp kuhusu sensa amesema watashiriki?
Km alivyo kikaangoni Zitto au vp?hapo nafkiri ni droo mkuu
Vipi Yule mtoto wake anayeitwa ADC aliyejifungua Mume wake CCM anapeleka matunzo?
Hizi ndoa za kutafuta mtu wa kukupikia futari huwa zinadumu kwa siku 30 tu naona muda hii zimeshamiriMmhhh, hawa watoto ambao mimba zinaingilia vilabu vya pombe, sidhani kama anapeleka matunzo.
Hivi Mtatiro ana cheo gani ndani ya cuf? Isije ikawa ni mwendelezo uleule wa unaniii aaaa ngoja niache nisije nikaandamwa bure hapa.
Hivi Zitto ktk Chadema anacheo gani mkuu naoba kila kitu ni Mnyika!
aliyekuwa mgombea wa jimbo la tandahimba ambaye alidhulumiwa ushindi wake katani ahmedi katani kijana machachari leo amekabidhiwa majukumu ya kuiongoza jumuiya. uteuzi huo umefanyika baada ya kumalizika baraza kuu la uongozi Taifa.