Prof Lipumba amteua KATANI AHMED KATANI kuwa mwenyekiti jumuiya ya vijana Taifa.

mkigoma

JF-Expert Member
Jul 26, 2011
1,180
309
aliyekuwa mgombea wa jimbo la tandahimba ambaye alidhulumiwa ushindi wake katani ahmedi katani kijana machachari leo amekabidhiwa majukumu ya kuiongoza jumuiya. uteuzi huo umefanyika baada ya kumalizika baraza kuu la uongozi Taifa.
 
aliyekuwa mgombea wa jimbo la tandahimba ambaye alidhulumiwa ushindi wake katani ahmedi katani kijana machachari leo amekabidhiwa majukumu ya kuiongoza jumuiya. uteuzi huo umefanyika baada ya kumalizika baraza kuu la uongozi Taifa.
RIP CUF....RIP Mkigoma!
 
Hivi Mtatiro ana cheo gani ndani ya cuf? Isije ikawa ni mwendelezo uleule wa unaniii aaaa ngoja niache nisije nikaandamwa bure hapa.
 
aliyekuwa mgombea wa jimbo la tandahimba ambaye alidhulumiwa ushindi wake katani ahmedi katani kijana machachari leo amekabidhiwa majukumu ya kuiongoza jumuiya. uteuzi huo umefanyika baada ya kumalizika baraza kuu la uongozi Taifa.

sisi tunaktaa tabia ya kuteuana, nyie mnaendeleza. si ajabu hata kwenye katiba mpya maoni yenu yatafanana na matendo yenu. kwa nini kusiwepo uchaguzi?
 
Back
Top Bottom