Mlingwa
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 381
- 58
Wajamii, Leo Mkufunzi na mtaalamu wa uchumi Prof. Lipumba katika mahojiano ya moja kwa moja "LIVE" channel ten usiku huu kipindi cha Hamza Kasongo Hour, amekanusha kumtetea Pinda badala yake amemshangaa kwanza kutojifunza na kutenda kama Mhe. Kawawa (Waziri mkuu mstaaafu, Marehemu), pili kumwogopa Jairo na kumsimamisha Blandina.
Lakini alipoulizwa kuhusu CC ya wana CCM kuuingilia mchakato na uwezo wa Rais katika kuteua na kuwawajibisha mawaziri wake, Kwanza alikiri huu ni Uzaifu kwani Rais ni taasisi inayojitegemea na haihitaji maoni wala baraka za chama. Na alipoulizwa kuhusu tetesi kwa baraza hili Kuingiza watu wa CDM na CUF; Prof. Amekiri wazi kuwa Kasongo ni mtu wa pili kumuuliza swali hilo; amekwisha pigiwa simu na mtu furani (hakumtaja jina) kuhusiana na hilo lakini alikananusha kuwepo na mazungumzo yoyote na Ikulu ya Dar Es salaaam.
Source: Channel Ten - Hamza Kasongo Hour leo.
My take: Huenda uuongozi wa magogoni kwa mbano wa wahisani, maana naambiwa kila aendako hakuna mafanikio ya msaada, na serikali ipo hoi kifedha. Pili kujenga heshima katika miaka miwili na nusu hii iliyobaki ni kuomba rihaa ya CC ya wana CCM wenzake ili asije onekana msaliti, aweze unda baraza mseto la mawaziri.
The Truth shall be Revealed Soon, Yetu Macho.
Lakini alipoulizwa kuhusu CC ya wana CCM kuuingilia mchakato na uwezo wa Rais katika kuteua na kuwawajibisha mawaziri wake, Kwanza alikiri huu ni Uzaifu kwani Rais ni taasisi inayojitegemea na haihitaji maoni wala baraka za chama. Na alipoulizwa kuhusu tetesi kwa baraza hili Kuingiza watu wa CDM na CUF; Prof. Amekiri wazi kuwa Kasongo ni mtu wa pili kumuuliza swali hilo; amekwisha pigiwa simu na mtu furani (hakumtaja jina) kuhusiana na hilo lakini alikananusha kuwepo na mazungumzo yoyote na Ikulu ya Dar Es salaaam.
Source: Channel Ten - Hamza Kasongo Hour leo.
My take: Huenda uuongozi wa magogoni kwa mbano wa wahisani, maana naambiwa kila aendako hakuna mafanikio ya msaada, na serikali ipo hoi kifedha. Pili kujenga heshima katika miaka miwili na nusu hii iliyobaki ni kuomba rihaa ya CC ya wana CCM wenzake ili asije onekana msaliti, aweze unda baraza mseto la mawaziri.
The Truth shall be Revealed Soon, Yetu Macho.