Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
πππππππ
UMENIPIGA CHENGA YA MWILI MIMI NAANZA KUANGALIA SINEMA ZETU NA HUU NI UZALENDO PIA. HAHAAHAAAA MAYALA(NZALA) BAGHESHI ULIHE NIZE NAKUGISHEWanabodi,
Pamoja na tuhuma za baadhi ya wanabodi kutotazama TBC kwa hoja kuwa eti ina boa, hadi wengine kuuita TBCCM, lakini hii ndio TV yetu pekee inayoendeshwa kwa kodi zetu, hivyo kutazama TBC sio issue ya choice bali ni wajibu, hivyo tutimize wajibu wetu kwa kuangalia TBC. Mimi naangalia TBC japo nina kaugomvi kidogo na wife hapa kuhusu hili, yeye anataka kuangalia Clouds 360, hivyo sometimes lazima ubaba utumike kinguvu, TV ya kuangaliwa na baba ni TBC!, hivyo mtu kuwa mzalendo wa kweli wa taifa lako, ni pamoja na kuiangalia TV ya Taifa lako, hata kama ni kweli sometimes inaboa, uzalendo ni kuweka utaifa mbele, hivyo TV ya Taifa ndio TV yetu sisi wazalendo wa kweli wa taifa letu, hivyo tunaangalia TBC.
Leo Mwenyekiti wa CUF Taifa kwa mujibu wa Msajili wa Vyama Siasa, na kwa mujibu wa Mahakama, Prof. Ibrahim Lipumba, yuko live TBC kwenye kipindi cha Jambo.
Natoa wito, karibuni tumsikilize.
Paskali
Update 1
Prof. Lipumba amesema kazi kubwa ya kwanza ya chama chake ni kuwaleta pamoja wanachama wake, kuwa kitu kimoja kujenga chama.
Lipumba amemshutumu Maalim Seif kwa kusema analeta usultani, anachotaka yeye tuu ndicho, hivyo kitendo cha kuhamia ATC chama chenye sera tofauti kabisa na malengo ya CUF, huko sasa kutakuwa ni kumfuata mtu kama usultani na sio kufuata sera au itikadi.
Sasa wameweka kipande cha Maalim Seif Akitangaza kuhamia ACT, kwa msisitizo kuwa "umma haujawahi kushindwa hata mara moja", hivyo Maalim Seif anaamini umma utashinda ndani ya ACT Wazalendo.
Prof. Lipumba anasisitiza ofisi za CUF nchini kote ni mali ya chama cha CUF na sio mali ya mtu, hivyo amelaani kitendo cha watu kupora ofisi za CUF na kuzigeuza ni za ACT, amesema atazipigania ofisi hizo ambalo ni mali halali ya CUF, lazima zibaki CUF.
Prof. Lipumba amesema CUF bado ni chama imara, na kutolea mfano Mrema alipohama na wafuasi na wanachama wake kutoka NCCR Mageuzi kwenda TLP, sasa wako wapi?, NCCR bado ipo imara, Mrema na TLP yake wana hali gani?.
Prof. Lipumba amekiponda ACT, ukimondoa Zitto na mwana mikakati wake Prof. Kitila Mkumbo, amesema ACT ni chama hoi bin taaban kama mgonjwa mahututi aliyepo ICU akihitaji kuongezewa damu, bahati damu yenyewe aliyoongezewa ni damu yenye virusi, badala ya kuponya mgonjwa, itamuangamiza.
Prof. Lipumba amemalizia kwa kusisitiza CUF itashirikiana na vyama vyenye kutaka ushirikiano wa kweli.
My Take ya Lipumba, ningekuwa mimi, ningejiepusha na kusema jambo lolote negative kumhusu Maalim Seif, Lipumba anajua fika kuna watu wanamuabudu Maalim Seif, hivyo akisema anything kumhusu muabudu huyu, watamuona kama amekufuru.
Kipindi kimemalizika, na hapo hapo, wife akanipokonya remote, haikupita hata dakika, akabadilisha!.
Asanteni kwa kufuatilia.
Paskali
Nashukuru Paskali kwa kutufumbua macho hata wale ambao huwa hatumsikilizi Lipumba popote. Sasa umetudhihirishia kuwa; Mwizi siku zote hujihami kwa kujitetea hata kama sio yeye.
Najiuliza swali; Kati ya Maalim na Lipumba ni nani aliyejaawa na tabia hizo alizotaja? Kama ni usultani, Tangu Lipumba awe m/kiti alimpisha nani?? Tangu 1995 kila uchaguzi mkuu ni nani amesimama kwa tiketi ya CUF kwenye urais?? Mbona anajisahau kuwa hata baada ya kuutema uenyekiti akaenda kula mema mwaka mzima, si ni yeye alirudi na kuung'ang'ania uenyekiti alioutupa hadi akaupata kwa mbinde?? Ni nani anadhihirisha kuwa; Anachokitaka ndicho atakichukua hata kwa mbinde??
Kwetu kuna kamsemo; Nyani haoni kundule. Mwambie akatafute vioo viwili ajiangalie. Huenda kamzidi Maalim
Natumia Smart TV, huhitaji kingamuzi inashika TV zote na FTA bureUlitaka kutuambia una king'amuzi cha Startimes kinaonesha mpaka CLOUDS
haya tunashukuru
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana wanachama wako wapi?. Ofisi yenyewe Zanzibar tayari inapepea act.Prof. Lipumba amesema kazi kubwa ya kwanza ya chama chake ni kuwaleta pamoja wanachama wake, kuwa kitu kimoja kujenga chama.
Mkuu Ethical Ninja, you are missing a lot. Hata iwe mbaya vipi kuna mazuri yake.
P.
Hivi DR. Rioba na wafanyakazi wa TBC wanasoma maoni haya ya wadau? Waziri wa Habari, Michezo na Utamaduni na wakurugenzi wake wanasoma haya? Haiwezekani kubadili mfumo wa utangazaji wa TBC ili walau uwe wa kitaifa zaidi kuliko hivi ulivyo wa ki-CCM? Kilangila.
Vipindi vya watoto jumamosi SAA tatu kipo bomba sana.Mkuu Pilato, huku sio kuwatendea haki, kati ya vipindi vya watoto katika TV zote za Bongo, hakuna kipindi kizuri cha watoto kama Ubongo Kidz kiko TBC pekee.
P.
Yani watanzania wanashangaza sana comment yako hii eti hadi sasa ina likes 43 khaaaaaa!!We tizama halafu tuambie kilichojiri
Wapinzani wa kweli huwa hawaalikwi TBCCM!!
Nakumbuka Jiwe alivyoingia Magogoni Lipumba ndio alikuwa mgeni wa kwanza kumtembelea kitaifa na wakaongea na akakili kuwa bwana mkubwa kasema atamsaidia kwenye kesi yake ambayo allifunguliwaga enzi za JK kwa kufanya mkutano usiohalali na alipigwa virungu,ndani ya wiki kesi ile ilifutwa!!!
As a journalist, Mayalla nilitegemea utakua makini katika uchaguzi wa maneno ya kuunda sentensi zako kufikisha ujumbe/fikra zako. In simple terms, nilitegemea utachagua maneno ambayo hayatazua sintofahamu na upotoshaji kwa wanaofuatilia maandiko yako. Neno kuabudu ni neno zito hasa kwa kuzingatia ni neno linalohusishwa na imani za kiroho/kidini.Wanabodi,
Pamoja na tuhuma za baadhi ya wanabodi kutotazama TBC kwa hoja kuwa eti ina boa, hadi wengine kuuita TBCCM, lakini hii ndio TV yetu pekee inayoendeshwa kwa kodi zetu, hivyo kutazama TBC sio issue ya choice bali ni wajibu, hivyo tutimize wajibu wetu kwa kuangalia TBC. Mimi naangalia TBC japo nina kaugomvi kidogo na wife hapa kuhusu hili, yeye anataka kuangalia Clouds 360, hivyo sometimes lazima ubaba utumike kinguvu, TV ya kuangaliwa na baba ni TBC!, hivyo mtu kuwa mzalendo wa kweli wa taifa lako, ni pamoja na kuiangalia TV ya Taifa lako, hata kama ni kweli sometimes inaboa, uzalendo ni kuweka utaifa mbele, hivyo TV ya Taifa ndio TV yetu sisi wazalendo wa kweli wa taifa letu, hivyo tunaangalia TBC.
Leo Mwenyekiti wa CUF Taifa kwa mujibu wa Msajili wa Vyama Siasa, na kwa mujibu wa Mahakama, Prof. Ibrahim Lipumba, yuko live TBC kwenye kipindi cha Jambo.
Natoa wito, karibuni tumsikilize.
Paskali
Update 1
Prof. Lipumba amesema kazi kubwa ya kwanza ya chama chake ni kuwaleta pamoja wanachama wake, kuwa kitu kimoja kujenga chama.
Lipumba amemshutumu Maalim Seif kwa kusema analeta usultani, anachotaka yeye tuu ndicho, hivyo kitendo cha kuhamia ATC chama chenye sera tofauti kabisa na malengo ya CUF, huko sasa kutakuwa ni kumfuata mtu kama usultani na sio kufuata sera au itikadi.
Sasa wameweka kipande cha Maalim Seif Akitangaza kuhamia ACT, kwa msisitizo kuwa "umma haujawahi kushindwa hata mara moja", hivyo Maalim Seif anaamini umma utashinda ndani ya ACT Wazalendo.
Prof. Lipumba anasisitiza ofisi za CUF nchini kote ni mali ya chama cha CUF na sio mali ya mtu, hivyo amelaani kitendo cha watu kupora ofisi za CUF na kuzigeuza ni za ACT, amesema atazipigania ofisi hizo ambalo ni mali halali ya CUF, lazima zibaki CUF.
Prof. Lipumba amesema CUF bado ni chama imara, na kutolea mfano Mrema alipohama na wafuasi na wanachama wake kutoka NCCR Mageuzi kwenda TLP, sasa wako wapi?, NCCR bado ipo imara, Mrema na TLP yake wana hali gani?.
Prof. Lipumba amekiponda ACT, ukimondoa Zitto na mwana mikakati wake Prof. Kitila Mkumbo, amesema ACT ni chama hoi bin taaban kama mgonjwa mahututi aliyepo ICU akihitaji kuongezewa damu, bahati damu yenyewe aliyoongezewa ni damu yenye virusi, badala ya kuponya mgonjwa, itamuangamiza.
Prof. Lipumba amemalizia kwa kusisitiza CUF itashirikiana na vyama vyenye kutaka ushirikiano wa kweli.
My Take ya Lipumba, ningekuwa mimi, ningejiepusha na kusema jambo lolote negative kumhusu Maalim Seif, Lipumba anajua fika kuna watu wanamuabudu Maalim Seif, hivyo akisema anything kumhusu muabudu huyu, watamuona kama amekufuru.
Kipindi kimemalizika, na hapo hapo, wife akanipokonya remote, haikupita hata dakika, akabadilisha!.
Asanteni kwa kufuatilia.
Paskali
Subiri yako itapata zaidiYani watanzania wanashangaza sana comment yako hii eti hadi sasa ina likes 43 khaaaaaa!!
Sent using Jamii Forums mobile app