mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Umoofia kwenu,
Huyu Prof. Mkumbo ameanza kujisahau kuwa ametoka kwenye imaya ya wanyonge kwa kujitoa ufahamu na kuaamka na hoja dhaifu kuwa visima ndio vinaleta kipindupindu.
Kwanza idadi ya wanaopata maji safi ni wangapi? Mtu huyu alitakiwa kuishauri Serikali itengeneze mitaro na njia za maji yaliyotuama majumbani, na Wizara ya Afya kuhakikisha vyoo kila nyumba viko salama.
Kitendo Cha Prof. Kusimama na kutangazia umma kuwa maji ya visima ndio chanzo cha kipindupindu ni wivu tu na kutaka kulazimisha watu wawekewe mita ili serikali ipate kuuza maji.
Miaka 60 hatujawahi kupata maji salama. Kwanza atuambie maji sehemu nyingi yanatoka mara ngapi? Je, yanatosha?
Pili haya anayoyasifia kweli ni salama kiasi hicho? Sehemu ngapi zinavuja na watu wanafunga na mipira michafu?
Prof. unatakiwa ukamate Bashite asafishe mji, zile fedha anazotoa ovyo angeweza kukodi magari apunguze uchafu unaonuka jiji zima.
Huyu Prof. Mkumbo ameanza kujisahau kuwa ametoka kwenye imaya ya wanyonge kwa kujitoa ufahamu na kuaamka na hoja dhaifu kuwa visima ndio vinaleta kipindupindu.
Kwanza idadi ya wanaopata maji safi ni wangapi? Mtu huyu alitakiwa kuishauri Serikali itengeneze mitaro na njia za maji yaliyotuama majumbani, na Wizara ya Afya kuhakikisha vyoo kila nyumba viko salama.
Kitendo Cha Prof. Kusimama na kutangazia umma kuwa maji ya visima ndio chanzo cha kipindupindu ni wivu tu na kutaka kulazimisha watu wawekewe mita ili serikali ipate kuuza maji.
Miaka 60 hatujawahi kupata maji salama. Kwanza atuambie maji sehemu nyingi yanatoka mara ngapi? Je, yanatosha?
Pili haya anayoyasifia kweli ni salama kiasi hicho? Sehemu ngapi zinavuja na watu wanafunga na mipira michafu?
Prof. unatakiwa ukamate Bashite asafishe mji, zile fedha anazotoa ovyo angeweza kukodi magari apunguze uchafu unaonuka jiji zima.