GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,773
Tukumbuke hii nukuu ya Charles Kitwanga kutoka katika Hansard ya BungeRwanda, kama Rwanda, hawana technologia ya kutengeneza magari, achilia mbali piki piki. Walichofanya ni kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji, ndipo wenye technologia na mitaji yao wakaenda kuwekeza pale.
Serikali yetu inapaswa kujifunza jinsi ya kuboresha mazingira ya uwekezaji ili kuvutia technologia za kisasa na mitaji.