Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,940
- 6,854
Kuna tofauti kati ya ombi na agizo. Ombi linaweza kukataliwa.Mbunge wa Ubungo Prof Kitila Mkumbo amesema wakazi wa Kimara wasiwe na hofu kwani hatua zote za kisheria zitafuatwa kabla hawajahamishwa kupisha ujenzi wa barabara.
Mkumbo amesema kwa kuanzia amewaomba Tanroads kuwaongezea muda wakazi hao ili kupisha majadiliano ya msingi yafanyike.
Prof Kitila amesema anashirikiana kwa karibu sana na DC Herry James kuhakikisha wananchi wake wanapata haki yao ya kikatiba.
Source: ITV
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Alitakiwa kusema haya baada ya kukubaliwa na Tanroads na kupewa muda wa ziada.
Amandla...