Binti Msichana
Senior Member
- Oct 9, 2016
- 109
- 247
Akitoa ufafanuzi kuhusu mambo mbalimbali kuhusu Tanzania kupitia kipindi cha Clouds 360 leo 28/12/2016 ameonesha wasiwasi wake kuhusu hatua ya Serikali kwa miaka 10 kuwajaza wanafunzi madarasani na kushindwa kuwafanya wajifunze.
Vilevile ameelezea jinsi gani Serikali ya Magufuli ilivyojaribu kuimarisha uchumi wa nchi kwa kubana matumizi yasiyo lazima hali inayofanya watumishi wakose pesa za ziada hivyo kuathiri wajasiriamali na wananchi wengine.
Pia ameelezea jinsi gani mwaka 2016 ulivyokuwa mbaya kwa vyama vya siasa kwa kubanwa na vyombo vya dola kuendesha shughuli zao.
Amegusia jinsi demokrasia na maendeleo jinsi vinavyoshahabiana, ameshangazwa jinsi Serikali inavyominya demokrasia nchini.
Vilevile ameelezea jinsi gani Serikali ya Magufuli ilivyojaribu kuimarisha uchumi wa nchi kwa kubana matumizi yasiyo lazima hali inayofanya watumishi wakose pesa za ziada hivyo kuathiri wajasiriamali na wananchi wengine.
Pia ameelezea jinsi gani mwaka 2016 ulivyokuwa mbaya kwa vyama vya siasa kwa kubanwa na vyombo vya dola kuendesha shughuli zao.
Amegusia jinsi demokrasia na maendeleo jinsi vinavyoshahabiana, ameshangazwa jinsi Serikali inavyominya demokrasia nchini.