beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mbunge wa Jimbo la Ubungo, Prof. Kitila Mkumbo amezungumzia upungufu wa Watumishi wa Umma katika Sekta mbalimbali zikiwemo Elimu, Afya, Kilimo, Maji na Kilimo akisema Serikali haina budi kuja na Mikakati mipya kutatua tatizo hilo
Amependekeza kufanyika Ukaguzi wa Taifa (National Audit) ili kupata mahitaji halisi ya Watumishi wa Umma. Vilevile ameishauri Serikali kuweka mazingira mazuri kwa Sekta Binafsi, akikemea kile alichokiita ni matamko ya kuisumbua Sekta hiyo
Amependekeza kufanyika Ukaguzi wa Taifa (National Audit) ili kupata mahitaji halisi ya Watumishi wa Umma. Vilevile ameishauri Serikali kuweka mazingira mazuri kwa Sekta Binafsi, akikemea kile alichokiita ni matamko ya kuisumbua Sekta hiyo