Prof. Kitila Mkumbo na Zitto mnatudanganya.Muogopeni Mungu

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
9,147
33,297
Wapendwa JF members salaam,

Napenda niwashirikishe hofu yangu juu ya uongo wa Zitto,Kitila,Mwigamba and na washirika wao hasa waliohamia ACT-Wazalendo wakitokea CHADEMA.

Mtanzania yeyote aliyeishia darasa la saba wa umri wa Zitto na wenzake anaweza kusoma,kuelewa na kuelezea vizuri sana juu ya UJAMAA na UBEPARI kwani tumejifunza vizuri juu ya ujamaa hapa Tanzania kuanzia darasa la kwanza hadi chuo kikuu.

Sasa Zitto alijiunga na CHADEMA tangia akiwa chuo kikuu,Kitila alijiunga na CHADEMA tangia akiwa Mwalimu wa wanafunzi wa chuo kikuu na Mwigamba alijiunga na
CHADEMA vilevile pengine akiwa na elimu ya juu, na hata kwa wafuasi wao.

Zitto amekua mbunge kupitia
CHADEMA kwa miaka kumi,Kitila pia amekua mwanachama wa CHADEMA kwa miaka mingi tu, na akaweza hata kuandika ILANI ya uchaguzi ya CHADEMA.

Sasa najiuliza Zitto na wenzako wakati mnajiunga na CHADEMA hamkusoma katiba ya
CHADEMA?

Haukujua kuwa
CHADEMA sio chama cha kijamaa?

Haukujua sera ya
CHADEMA?

Je, UJAMAA wako na wenzako umekuja baada ya kufukuzwa
CHADEMA?

Kama nyie ni wajamaa kwanini hamkujiunga na chama cha kijamaa CCM ingawa kwa CCM ujamaa ni jina tu na umebaki vitabuni.

Hata kama CCM waliacha kuufuata Ujamaa kwanini hamkujiunga ili mtumie ushawishi wenu kuirudisha CCM?

Mtaniambia kuwa ingekua ngumu kuwarudisha wana CCM ndani ya Ujamaa,sawa.

Sasa kama ninyi ni Wajamaa kwa nini mliingia chama
CHADEMA kisichofuata imani mnayoiamini?

Mlitegemea nini kwa miaka yote mliyokua mnadai mmeijenga
CHADEMA isiyofuata Ujamaa huku mkijua chama mnachokijenga kwa miaka zaidi ya kumi hakina sera ya Ujamaa mnayoiamini?

Au mlitegemea kufanya mapinduzi ya sera. Je mlijaribu kushawishi wenzenu?

Zitto Ujamaa umeanza baada tu ya kufukuzwa
CHADEMA.Zitto unataka kutumia utamu wa sera za UJAMAA ili kugawa kura za wapinzani ili CCM ipite kirahisi.

Ujamaa na Azimio la Arusha ni vitu vizuri sana lakini hata founder wake hapa nchini JK Nyerere alikili kuwa kuvihubiri hapa Tanzania inabidi uwe na akili ya mwendawazimu.

Zitto,
ACT-Wazalendo ni mkakati maalum wa kuirahisishia ushindi CCM.Mkuu unafurahi CCM iendelee kutawala?

Mkuu kuna maisha zaidi ya siasa na kesho kwa MUNGU tuna maswali ya kujibu.UJAMAA wako umeibuka ghafla sana siku zote ulikua wapi usianzishe chama cha Kijamaa kwa amani tena kwa kuondoka
CHADEMA kwa amani?
 
Chama sio mke wa kufa na kuzikana. Nadhani katika maisha yako kuna vitu ulitaka ufanye lakini uliacha.

Katika elimu kuna M&E ndo mwamuzi wa kila kitu.
 
Makamanda wa Chadema hawa jamaa mlishawafukuza kwenye chama chenu kwa madai wasaliti lakini bado mnaendelea kwajadili hamuoni kama mnapoteza muda wenu, hizo nguvu mnazopoteza kwajadili kwa nini msijikite kujenga chama chenu.
 
Wapendwa JF members salaam,

Napenda niwashirikishe hofu yangu juu ya uongo wa Zitto,Kitila,Mwigamba and na washirika wao hasa waliohamia ACT-Wazalendo wakitokea CHADEMA.

Mtanzania yeyote aliyeishia darasa la saba wa umri wa Zitto na wenzake anaweza kusoma,kuelewa na kuelezea vizuri sana juu ya UJAMAA na UBEPARI kwani tumejifunza vizuri juu ya ujamaa hapa Tanzania kuanzia darasa la kwanza hadi chuo kikuu.

Sasa Zitto alijiunga na CHADEMA tangia akiwa chuo kikuu,Kitila alijiunga na CHADEMA tangia akiwa Mwalimu wa wanafunzi wa chuo kikuu na Mwigamba alijiunga na
CHADEMA vilevile pengine akiwa na elimu ya juu, na hata kwa wafuasi wao.

Zitto amekua mbunge kupitia
CHADEMA kwa miaka kumi,Kitila pia amekua mwanachama wa CHADEMA kwa miaka mingi tu, na akaweza hata kuandika ILANI ya uchaguzi ya CHADEMA.

Sasa najiuliza Zitto na wenzako wakati mnajiunga na CHADEMA hamkusoma katiba ya
CHADEMA?

Haukujua kuwa
CHADEMA sio chama cha kijamaa?

Haukujua sera ya
CHADEMA?

Je, UJAMAA wako na wenzako umekuja baada ya kufukuzwa
CHADEMA?

Kama nyie ni wajamaa kwanini hamkujiunga na chama cha kijamaa CCM ingawa kwa CCM ujamaa ni jina tu na umebaki vitabuni.

Hata kama CCM waliacha kuufuata Ujamaa kwanini hamkujiunga ili mtumie ushawishi wenu kuirudisha CCM?

Mtaniambia kuwa ingekua ngumu kuwarudisha wana CCM ndani ya Ujamaa,sawa.

Sasa kama ninyi ni Wajamaa kwa nini mliingia chama
CHADEMA kisichofuata imani mnayoiamini?

Mlitegemea nini kwa miaka yote mliyokua mnadai mmeijenga
CHADEMA isiyofuata Ujamaa huku mkijua chama mnachokijenga kwa miaka zaidi ya kumi hakina sera ya Ujamaa mnayoiamini?

Au mlitegemea kufanya mapinduzi ya sera. Je mlijaribu kushawishi wenzenu?

Zitto Ujamaa umeanza baada tu ya kufukuzwa
CHADEMA.Zitto unataka kutumia utamu wa sera za UJAMAA ili kugawa kura za wapinzani ili CCM ipite kirahisi.

Ujamaa na Azimio la Arusha ni vitu vizuri sana lakini hata founder wake hapa nchini JK Nyerere alikili kuwa kuvihubiri hapa Tanzania inabidi uwe na akili ya mwendawazimu.

Zitto,
ACT-Wazalendo ni mkakati maalum wa kuirahisishia ushindi CCM.Mkuu unafurahi CCM iendelee kutawala?

Mkuu kuna maisha zaidi ya siasa na kesho kwa MUNGU tuna maswali ya kujibu.UJAMAA wako umeibuka ghafla sana siku zote ulikua wapi usianzishe chama cha Kijamaa kwa amani tena kwa kuondoka
CHADEMA kwa amani?
hapana mkuu wangu hapa sasa unakosea na nitaendelea kuwatetea hawa watu kwa sababu mnajaribu sana kuwaharibia jina kwa sababu za kipuuzi kabisa. Itangazeni Chadema jamani na sera zake Zitto sii wenu tena. Chadema asilia mko wapi? hivi kweli chama kimeingiliwa kiasi hiki mnakosa hoja kabisa isipokuwa kuzungumzia watu!.

Sasa watu kama mimi tulikuwa CCM na tukajiunga Chadema japo ni WAJAMAA unataka kusema hatukujua? Mwanzo sote tulikuwa na malengo sawa haikujalisha tofauti zetu, leo tumekuja vurugwa tunaanza matusi baada ya kusambaratika tena mliambiwa lakini kwa jeuri zenu hamkutaka kusikia. Mkawafukuza sasa mlitegemea nini?. Kwani Nyerere alipojiunga TAA hakujua kama ni chama cha kijiweni hakuna Mjamaa mule..

Ujamaa Ni Imani hata Azimio la Arusha linasema hivyo. Ni imani ya kwamba hakuna mtu KUMNYONYA mwenzake na aina za wanyonyaji zipi nyingi na zinaweza badilika wakati wowote kama virusi. Ujamaa hauna maana mbaya isipokuwa unapingana na ile dhana ya Ubepari ambayo inaruhusu mashindano ya kibiashara pasipo viwango. Mtu akitaka kupandisha bei ya kitu maadam kinahitajika ana haki hiyo. Tumeuziwa hadi maziwa feki kwa sababu tuna shida ya maziwa huu ubepari gani?

Hii ni lugha tu ya wazungu kutupumbaza, kwani mbona wao sisi tukitaka kuwauzia mazao yetu au madini yetu wao ndio huyathaminisha? Lakini tukitaka vitu vyao wao tena ndio wanatupa bei zao na kushindana wao kutuuzia. Sisi wenye mazao hakuna kushindana hawataki kushindana ila bei moja tu. Mafuta ya waarabu bei moja dunia nzima wakinunua lakini wao wanapanga bei ya mafuta baada ya kuyasafisha tu.

Huu wizi mtupu, Nyerere aliukataa na mimi ni mmoja wa watu wanaopingana na mfumo huu japo sina uwezo wa kubadilisha kitu lakini fikra za kwamba kama ni biashara za mashindano basi nao wasitupangie bei. Huu Ubepari umetugharimu zaidi, leo tunanunua hadi juice za embe za makopo kutoka Arabuni ilihali embe zinatoka kwetu. hapana ifike mahala wadanganyika amkeni.. Chadema mlisimamia haya mkayaacha mataani mkaendekeza siasa za majitaka, sasa acheni wenye nia thabiti na uwezo huo wayaendeleze..
 
Wapendwa JF members salaam,

Napenda niwashirikishe hofu yangu juu ya uongo wa Zitto,Kitila,Mwigamba and na washirika wao hasa waliohamia ACT-Wazalendo wakitokea CHADEMA.

Mtanzania yeyote aliyeishia darasa la saba wa umri wa Zitto na wenzake anaweza kusoma,kuelewa na kuelezea vizuri sana juu ya UJAMAA na UBEPARI kwani tumejifunza vizuri juu ya ujamaa hapa Tanzania kuanzia darasa la kwanza hadi chuo kikuu.

Sasa Zitto alijiunga na CHADEMA tangia akiwa chuo kikuu,Kitila alijiunga na CHADEMA tangia akiwa Mwalimu wa wanafunzi wa chuo kikuu na Mwigamba alijiunga na
CHADEMA vilevile pengine akiwa na elimu ya juu, na hata kwa wafuasi wao.

Zitto amekua mbunge kupitia
CHADEMA kwa miaka kumi,Kitila pia amekua mwanachama wa CHADEMA kwa miaka mingi tu, na akaweza hata kuandika ILANI ya uchaguzi ya CHADEMA.

Sasa najiuliza Zitto na wenzako wakati mnajiunga na CHADEMA hamkusoma katiba ya
CHADEMA?

Haukujua kuwa
CHADEMA sio chama cha kijamaa?

Haukujua sera ya
CHADEMA?

Je, UJAMAA wako na wenzako umekuja baada ya kufukuzwa
CHADEMA?

Kama nyie ni wajamaa kwanini hamkujiunga na chama cha kijamaa CCM ingawa kwa CCM ujamaa ni jina tu na umebaki vitabuni.

Hata kama CCM waliacha kuufuata Ujamaa kwanini hamkujiunga ili mtumie ushawishi wenu kuirudisha CCM?

Mtaniambia kuwa ingekua ngumu kuwarudisha wana CCM ndani ya Ujamaa,sawa.

Sasa kama ninyi ni Wajamaa kwa nini mliingia chama
CHADEMA kisichofuata imani mnayoiamini?

Mlitegemea nini kwa miaka yote mliyokua mnadai mmeijenga
CHADEMA isiyofuata Ujamaa huku mkijua chama mnachokijenga kwa miaka zaidi ya kumi hakina sera ya Ujamaa mnayoiamini?

Au mlitegemea kufanya mapinduzi ya sera. Je mlijaribu kushawishi wenzenu?

Zitto Ujamaa umeanza baada tu ya kufukuzwa
CHADEMA.Zitto unataka kutumia utamu wa sera za UJAMAA ili kugawa kura za wapinzani ili CCM ipite kirahisi.

Ujamaa na Azimio la Arusha ni vitu vizuri sana lakini hata founder wake hapa nchini JK Nyerere alikili kuwa kuvihubiri hapa Tanzania inabidi uwe na akili ya mwendawazimu.

Zitto,
ACT-Wazalendo ni mkakati maalum wa kuirahisishia ushindi CCM.Mkuu unafurahi CCM iendelee kutawala?

Mkuu kuna maisha zaidi ya siasa na kesho kwa MUNGU tuna maswali ya kujibu.UJAMAA wako umeibuka ghafla sana siku zote ulikua wapi usianzishe chama cha Kijamaa kwa amani tena kwa kuondoka
CHADEMA kwa amani?

Mpaka mnatia huruma. ACT-Wazalendo.
Vua Gamba,Vua Gwanda VAA UZALENDO.

Kwa sasa bavicha mnalipwa kiasi gani na hao wakuu wa chama cha kifamilia. Nakushauri muendeleze kutangaza serq zenu kuliko kujipima na Wazalendo mtaumia
 
kama mikutano ya ACT songea ime simamiwa na CCM, na leo vikao vina endelea kusaidia ujio wake NJOMBE, kwann tusiseme ACT ni mtoto wa CCM?...
 
Yaani Chadomo badala kukinadi chama chao.Wao wanakaa kutunga uongo dhidi ya ZITTO na Act.Ndo hivyo mnavyokufa kibudu mkifikiri mnakiokoa saccos yenu.
 
Act ikipata wanachama kumi wenye akili ktk mkoa WA njombe mi naacha siasa
 
Kama mlijua zitto atagawa kura za upinzani kwa nn mlimtimua...au amkuangalia absolute advanatage ya kumfukuza
 
zito kawajibu leo songea.kasema yeye mara zote alikuea na sera za ujamaa.ndio maana mlivyokubaliana hakuna kuchukua posho mbunge wa cdm yeye alilitekeleza kwa vitendo.

pia kasema mtu mwenye akili akimwacha mwanamke kisha kutwa unamkuta mwanaume yule anatoa siri za mtalaka wake ujue mwanaume huyo anamatatizo ya akili

pia kasema tuwaulize nyinyi mnaomwita ZITO msaliti.wabunge hao wasafi wamepeleka hoja gani binafsi ikaiangusha serikali?

chuki zenu nikwasababu zito anauzalendo na tanzania na wananchi.nyinyi na wakubwa wenu hamtaki chama chenu kiwe chama cha kutetea wanyonge na masikini.nandiomaana mnashindwa kujitofautisha na ccm

cdm mnapenda kuongea tu hatuchukui posho za bunge lakini vitendo zilo kabisa.
 
Kinachosikitisha sana ni JINSI chadema walivyoconcede defeat bila hata kunyanyua mikono... washabiki wa chadema wameacha kuzungumzia ukombozi wa wananchi wa kawaida, wao wamekomaa na Zitto, zitto sio ilani, zitto ni mtu tu, na chama chake sio chadema

IT IS HIGH TIME CHADEMA LEADERSHIP IWAASE WASHABIKI WAKE KUKOMALIA SERA Z CHADEMA

watanzania ni mbayuwayu, kuacha zitto abaki midomoni mwa wengi ni kubariki uwepo wake vichwani mwa watu
 
Kama mlijua zitto atagawa kura za upinzani kwa nn mlimtimua...au amkuangalia absolute advanatage ya kumfukuza

mkuu hawa jamaa wameshachanganyikiwa hata hawajielewi yaan wana weweseka tu! vumilieni mliyataka wenyewe.
 
zito kawajibu leo songea.kasema yeye mara zote alikuea na sera za ujamaa.ndio maana mlivyokubaliana hakuna kuchukua posho mbunge wa cdm yeye alilitekeleza kwa vitendo.

pia kasema mtu mwenye akili akimwacha mwanamke kisha kutwa unamkuta mwanaume yule anatoa siri za mtalaka wake ujue mwanaume huyo anamatatizo ya akili

pia kasema tuwaulize nyinyi mnaomwita ZITO msaliti.wabunge hao wasafi wamepeleka hoja gani binafsi ikaiangusha serikali?

chuki zenu nikwasababu zito anauzalendo na tanzania na wananchi.nyinyi na wakubwa wenu hamtaki chama chenu kiwe chama cha kutetea wanyonge na masikini.nandiomaana mnashindwa kujitofautisha na ccm

cdm mnapenda kuongea tu hatuchukui posho za bunge lakini vitendo zilo kabisa.

Chadema ni mafisadi, wanapiga kelele wakifika bungeni wanakula posho kama kawa, Ruzuku inatafunwa sana pale makao makuu
 
hapana mkuu wangu hapa sasa unakosea na nitaendelea kuwatetea hawa watu kwa sababu mnajaribu sana kuwaharibia jina kwa sababu za kipuuzi kabisa. Itangazeni Chadema jamani na sera zake Zitto sii wenu tena. Chadema asilia mko wapi? hivi kweli chama kimeingiliwa kiasi hiki mnakosa hoja kabisa isipokuwa kuzungumzia watu!.

Sasa watu kama mimi tulikuwa CCM na tukajiunga Chadema japo ni WAJAMAA unataka kusema hatukujua? Mwanzo sote tulikuwa na malengo sawa haikujalisha tofauti zetu, leo tumekuja vurugwa tunaanza matusi baada ya kusambaratika tena mliambiwa lakini kwa jeuri zenu hamkutaka kusikia. Mkawafukuza sasa mlitegemea nini?. Kwani Nyerere alipojiunga TAA hakujua kama ni chama cha kijiweni hakuna Mjamaa mule..

Ujamaa Ni Imani hata Azimio la Arusha linasema hivyo. Ni imani ya kwamba hakuna mtu KUMNYONYA mwenzake na aina za wanyonyaji zipi nyingi na zinaweza badilika wakati wowote kama virusi. Ujamaa hauna maana mbaya isipokuwa unapingana na ile dhana ya Ubepari ambayo inaruhusu mashindano ya kibiashara pasipo viwango. Mtu akitaka kupandisha bei ya kitu maadam kinahitajika ana haki hiyo. Tumeuziwa hadi maziwa feki kwa sababu tuna shida ya maziwa huu ubepari gani?

Hii ni lugha tu ya wazungu kutupumbaza, kwani mbona wao sisi tukitaka kuwauzia mazao yetu au madini yetu wao ndio huyathaminisha? Lakini tukitaka vitu vyao wao tena ndio wanatupa bei zao na kushindana wao kutuuzia. Sisi wenye mazao hakuna kushindana hawataki kushindana ila bei moja tu. Mafuta ya waarabu bei moja dunia nzima wakinunua lakini wao wanapanga bei ya mafuta baada ya kuyasafisha tu.

Huu wizi mtupu, Nyerere aliukataa na mimi ni mmoja wa watu wanaopingana na mfumo huu japo sina uwezo wa kubadilisha kitu lakini fikra za kwamba kama ni biashara za mashindano basi nao wasitupangie bei. Huu Ubepari umetugharimu zaidi, leo tunanunua hadi juice za embe za makopo kutoka Arabuni ilihali embe zinatoka kwetu. hapana ifike mahala wadanganyika amkeni.. Chadema mlisimamia haya mkayaacha mataani mkaendekeza siasa za majitaka, sasa acheni wenye nia thabiti na uwezo huo wayaendeleze..


GT kama ww ni adimu sana hongera mkuu kwa udadavuzi mzuri
 
Back
Top Bottom