Prof. Kitila Mkumbo mbona wizara yako ufisadi uko kila kona ya nchi, kunani?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,768
141,632
Nimefuatilia ziara ya waziri wa maji Prof Mbarawa anakutana na ufisadi kila anakozuru, naibu wake mh Awesu yuko Njombe ni ufisadi kila apitako.

Waziri mkuu Yuki Bukoba malalamiko anayopokea mengi ni ya ufisadi miradi ya maji.

Najiuliza Prof wangu Kitila tatizo ni mini? Na kwanini mpaka mawaziri wasafiri ndio wanagundua kwani watendaji mnafanya kazi gani. Niishie hapo.

Kidumu Chama cha mapinduzi!
 
Nimefuatilia ziara ya waziri wa maji Prof Mbarawa anakutana na ufisadi kila anakozuru.......naibu wake mh Awesu yuko Njombe ni ufisadi kila apitako.....Waziri mkuu Yuki Bukoba malalamiko anayopokea mengi ni ya ufisadi miradi ya maji. Najiuliza Prof wangu Kitila tatizo ni mini? Na kwanini mpaka mawaziri wasafiri ndio wanagundua kwani watendaji mnafanya kazi gani. Niishie hapo.......Kidumu Chama cha mapinduzi!
unazijua kazi za KM-wizara ya maji?
zaidi 90% hiyo miradi ilianza na awamu ya nne,awamu hii pesa yake ni sumu inakuua taratibu in Professor Ndalichako's voice
 
Nimefuatilia ziara ya waziri wa maji Prof Mbarawa anakutana na ufisadi kila anakozuru.......naibu wake mh Awesu yuko Njombe ni ufisadi kila apitako.....Waziri mkuu Yuki Bukoba malalamiko anayopokea mengi ni ya ufisadi miradi ya maji. Najiuliza Prof wangu Kitila tatizo ni mini? Na kwanini mpaka mawaziri wasafiri ndio wanagundua kwani watendaji mnafanya kazi gani. Niishie hapo.......Kidumu Chama cha mapinduzi!
Hata ikulu kwa jiwe kuna ufisafi... Kwa kifupi ccm ni chama cha mafisadi.
 
Sizijui ndomana nimeuliza!
kuna mkurugenzi wa maji mijini ma mkurugenzi wa maji vijijini
hawa ndio wafuatiliaji wakubwa wa miradi ya maji.Hata hivyo professor toka afike pale ameleta mabadiliko chanya hata yeye pia anazungukia miradi
 
Nimefuatilia ziara ya waziri wa maji Prof Mbarawa anakutana na ufisadi kila anakozuru.......naibu wake mh Awesu yuko Njombe ni ufisadi kila apitako.....Waziri mkuu Yuki Bukoba malalamiko anayopokea mengi ni ya ufisadi miradi ya maji. Najiuliza Prof wangu Kitila tatizo ni mini? Na kwanini mpaka mawaziri wasafiri ndio wanagundua kwani watendaji mnafanya kazi gani. Niishie hapo.......Kidumu Chama cha mapinduzi!

Si tunaambiwa ufisadi umeisha nchi hii mpaka viongozi wa cdm wanahamia ccm kuunga mkono? Au ufisadi bado upo lakini mapambano ni dhidi ya neno fisadi?
 
Nimefuatilia ziara ya waziri wa maji Prof Mbarawa anakutana na ufisadi kila anakozuru.......naibu wake mh Awesu yuko Njombe ni ufisadi kila apitako.....Waziri mkuu Yuki Bukoba malalamiko anayopokea mengi ni ya ufisadi miradi ya maji. Najiuliza Prof wangu Kitila tatizo ni mini? Na kwanini mpaka mawaziri wasafiri ndio wanagundua kwani watendaji mnafanya kazi gani. Niishie hapo.......Kidumu Chama cha mapinduzi!
Je, Mkumbo ni CCM?
2015 je, alishiriki kuinadi Sera ya chama cha mapinduzi?

Je, mpinzani anaweza kusimamia vizuri Sera ya chama kingine kisicho cha kwake?
Je, ni wangapi wanaweza kuhisi kuwa Yule sio CCM labda CCM mpya ya wapinzani? Je hawezi kuwa ni kati ya wale wahamiaji toka CCJ,CCK, CUF,ACT wazalendo na Chadema waliofuata maisha bora ?

Ninachoamini ni kuwa ufisadi,wizi utapungua au kwisha kwa kuwaruhusu wapinzani na wale CCM wasema kweli waimulike serikali muda wote kwa manufaa ya nchi. Watawala siku zote ni binadamu wanaojipenda ,na kujipendelea kwa kujilimbikizia Mali ama kwa kujenga kwao kwanza au kujiwekea akiba za familia zao. Hilo halikwepeki ndio maana kwa busara waasisi wetu walipoona nchi chini ya Chama kimoja imeshindwa kudhibiti rushwa miaka ya 90 waliruhusu vyama vingi ili kujenga mfumo wa kuwajibishana na kuchunguzana kupitia wabunge hasa wa upinzani.
 
TATIZO KITILA MKUMBO ALITAKA KUFANYA SIASA KWENYE ENEO LINALOTAKIWA UTAALAMU. NI KATIBU MKUU PEKEE WA WIZARA ALIYEKUWA ANAKIMBIZANA NA WANASIASA MAJUKWAANI
 
unazijua kazi za KM-wizara ya maji?
zaidi 90% hiyo miradi ilianza na awamu ya nne,awamu hii pesa yake ni sumu inakuua taratibu in Professor Ndalichako's voice
Umesikia mtu yeyote aliyekamatwa baada ya mkaguzi kubaini kuwa kuna fedha zaidi ya 1.5 Tril hazina maelezo ya namna zilivyotumika na hazijulikani zimetumika kufanyia nini?
 
Umesikia mtu yeyote aliyekamatwa baada ya mkaguzi kubaini kuwa kuna fedha zaidi ya 1.5 Tril hazina maelezo ya namna zilivyotumika na hazijulikani zimetumika kufanyia nini?
hizo ni porojo tu,Proffesor Assad alishadema hakuna pesa ilioliwa,tatizo hamjui mambo ya uhasibu mnajazana ujinga
 
Nimefuatilia ziara ya waziri wa maji Prof Mbarawa anakutana na ufisadi kila anakozuru.......naibu wake mh Awesu yuko Njombe ni ufisadi kila apitako.....Waziri mkuu Yuki Bukoba malalamiko anayopokea mengi ni ya ufisadi miradi ya maji. Najiuliza Prof wangu Kitila tatizo ni mini? Na kwanini mpaka mawaziri wasafiri ndio wanagundua kwani watendaji mnafanya kazi gani. Niishie hapo.......Kidumu Chama cha mapinduzi!
Kigumu
IMG-20181008-WA0006.jpeg
 
Back
Top Bottom